natafuta mke, baadhi ya sifa ;
1.awe mweusi.
2.Mpenda maendeleo.
3.Asiyekunywa pombe.
4.Asiyevuta sigara.
5.Asiwe mtu wa kujirusha kila weekend kwakifupi asiendekeze starehe.
6.Ajue wajibu wake kama mke
7.asiwe mwenye maneno mengi , mtaani wanasema anachonga sana,
8.Awe mtulivu na mpole anayejiheshimu na mwaminifu.
9.Mpenda ibada.
Kama ana mtoto asizidi mmoja.
10.umri kuanzia 18 - 29.
11. Awe na umbo la kati.asiwe mwembamba sana wala mnene.
mm binafsi sjaajiriwa najitaftia na sina shughuli maalumu, shughuli zangu zinategemea wakati na msimu na fursa zinazojitokeza,labda mbeleni nita specialize .
umri wangu kati ya 29 hadi 35. aliye serious aje PM na kama una swali niulize kwa PM
1.awe mweusi.
2.Mpenda maendeleo.
3.Asiyekunywa pombe.
4.Asiyevuta sigara.
5.Asiwe mtu wa kujirusha kila weekend kwakifupi asiendekeze starehe.
6.Ajue wajibu wake kama mke
7.asiwe mwenye maneno mengi , mtaani wanasema anachonga sana,
8.Awe mtulivu na mpole anayejiheshimu na mwaminifu.
9.Mpenda ibada.
Kama ana mtoto asizidi mmoja.
10.umri kuanzia 18 - 29.
11. Awe na umbo la kati.asiwe mwembamba sana wala mnene.
mm binafsi sjaajiriwa najitaftia na sina shughuli maalumu, shughuli zangu zinategemea wakati na msimu na fursa zinazojitokeza,labda mbeleni nita specialize .
umri wangu kati ya 29 hadi 35. aliye serious aje PM na kama una swali niulize kwa PM