Namuhitaji mwanamke aliye serious

Namuhitaji mwanamke aliye serious

libumi

Member
Joined
Oct 1, 2015
Posts
58
Reaction score
13
natafuta mke, baadhi ya sifa ;
1.awe mweusi.
2.Mpenda maendeleo.
3.Asiyekunywa pombe.
4.Asiyevuta sigara.
5.Asiwe mtu wa kujirusha kila weekend kwakifupi asiendekeze starehe.
6.Ajue wajibu wake kama mke
7.asiwe mwenye maneno mengi , mtaani wanasema anachonga sana,
8.Awe mtulivu na mpole anayejiheshimu na mwaminifu.
9.Mpenda ibada.
Kama ana mtoto asizidi mmoja.
10.umri kuanzia 18 - 29.
11. Awe na umbo la kati.asiwe mwembamba sana wala mnene.
mm binafsi sjaajiriwa najitaftia na sina shughuli maalumu, shughuli zangu zinategemea wakati na msimu na fursa zinazojitokeza,labda mbeleni nita specialize .
umri wangu kati ya 29 hadi 35. aliye serious aje PM na kama una swali niulize kwa PM
 
natafuta mke, baadhi ya sifa ;
1.awe mweusi.
2.Mpenda maendeleo.
3.Asiyekunywa pombe.
4.Asiyevuta sigara.
5.Asiwe mtu wa kujirusha kila weekend kwakifupi asiendekeze starehe.
6.Ajue wajibu wake kama mke
7.asiwe mwenye maneno mengi , mtaani wanasema anachonga sana,
8.Awe mtulivu na mpole anayejiheshimu na mwaminifu.
9.Mpenda ibada.
Kama ana mtoto asizidi mmoja.
10.umri kuanzia 18 - 29.
11. Awe na umbo la kati.asiwe mwembamba sana wala mnene.
mm binafsi sjaajiriwa najitaftia na sina shughuli maalumu, shughuli zangu zinategemea wakati na msimu na fursa zinazojitokeza,labda mbeleni nita specialize .
umri wangu kati ya 29 hadi 35. aliye serious aje PM na kama una swali niulize kwa PM


Kwa vigezo hivyo..utaishia kupiga punnyeto maisha yako yote...
 
We Naweee Hivi Adam Naye Angempangia Mungu Kumpa Mke Wa Aina Gani Kwa Kutaja Misifa Kama Yako Angepatiwa Kweli Eva??Hivi Kila Mtu Angekuwa Anaangalia Hivo Vigezo Unafikiri Wangap Wangeolewa Au Wangeoa??
 
tafta kazi kwanza uone. We hata kazi ya maana huna unataka mwanamke
 
We Naweee Hivi Adam Naye Angempangia Mungu Kumpa Mke Wa Aina Gani Kwa Kutaja Misifa Kama Yako Angepatiwa Kweli Eva??Hivi Kila Mtu Angekuwa Anaangalia Hivo Vigezo Unafikiri Wangap Wangeolewa Au Wangeoa??

Mbona mm naona ni vigezo vya kawaida tu jamani
 
We mwenyewe unaonekana haupo serious. Get yourself serious first before looking for a serious patner. Maisha na ndoa ni zaidi ya hizi tangible features-Utaishia kuwa disappointed .Pole.
 
Sasa we unatafuta mchumba au mfanyakazi wa nyumba za ibada? Masharti mbona mengi sana wakati wewe mwenyewe hata kazi ya maana huna?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom