Habari zenu wanajamvi,
Nimejitokeza humu kutafuta mchumba kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza.
Lengo langu ni kumpata Mwanamke ambaye atanifaa mimi kwa kuamini kuwa mchumba anapatikana mahali popote,Mimi ni mfanyakazi serikalini na wala sina mtoto,ni mrefu wastani na mwembamba kihasi.
SIFA ZA MWANAMKE NINAE MUHITAJI
*Awe Muislam
*Awe na Elimu kuanzia kidato cha6, au mwenye uelewa mzuri
*Awe na umri usio zidi 22
*Awe mrefu wastani na mwembamba wastani
kwa yeyote aliye serious anaweza kunitafuta tukafahamiana vizuri,ila kama haupo serious plz sihitaji usumbufu
PM ruksa au e-mail (kbrama78@gmail.com)
Asanteni sana
Nimejitokeza humu kutafuta mchumba kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza.
Lengo langu ni kumpata Mwanamke ambaye atanifaa mimi kwa kuamini kuwa mchumba anapatikana mahali popote,Mimi ni mfanyakazi serikalini na wala sina mtoto,ni mrefu wastani na mwembamba kihasi.
SIFA ZA MWANAMKE NINAE MUHITAJI
*Awe Muislam
*Awe na Elimu kuanzia kidato cha6, au mwenye uelewa mzuri
*Awe na umri usio zidi 22
*Awe mrefu wastani na mwembamba wastani
kwa yeyote aliye serious anaweza kunitafuta tukafahamiana vizuri,ila kama haupo serious plz sihitaji usumbufu
PM ruksa au e-mail (kbrama78@gmail.com)
Asanteni sana