benjaminielia85
Member
- Sep 15, 2016
- 29
- 5
Sifa zake, awe na miaka 18-22, awe mkristo, awe na heshima, awe msikivu na mwenye kupenda maendeleo. Sifa zangu nina miaka 26, ninajiheshimu, ni mkristo na ninadegree moja aliyetayari anicheck 07669711149
[emoji16][emoji16][emoji16]Kijana hebu tuelezeee umejiaandaa andaaaaaje kumchukua huyo bint wa 18-22.
Unagari?
Unanyumba?
Unamguu wa kuku?
Nafikiri muda mwingi huwa unawaza negative sana, humu kuna wake za watu kibao na wanaojiheshimu, labda ulitendwa sana mpaka umeathiriwa wewe si bureHumu sio mahala pake wengi wa wanawake waliomo humu hawana sifa ya kuwa mke.
Utakuja chukua kahaba liloshindikana, kumbuka hata wa wanaojiuza sinza wanatembelea humu.
All the best
kabisa yaan atutake radhiDuu mkuu!,humu Kuna wanawake wengi wana heshima zao,pia Kuna wake za watu humu,maelezo yako hayajakaa sawa.
Ndiyo maana nikasema humu si mahala pake.kabisa yaan atutake radhi
Nafikiri muda mwingi huwa unawaza negative sana, humu kuna wake za watu kibao na wanaojiheshimu, labda ulitendwa sana mpaka umeathiriwa wewe si bure
Ndiyo maana nikasema humu siyo mahala pake pakutafutia mke.Duu mkuu!,humu Kuna wanawake wengi wana heshima zao,pia Kuna wake za watu humu,maelezo yako hayajakaa sawa.