Masasaa
JF-Expert Member
- Oct 23, 2015
- 585
- 623
Mimi ni mwaname mwenye umri wa miaka 45, divorced, mtoto mmoja, mkristo, natafuta mwanamke mwebye umri kuanzia miaka 27 mpaka 40, mwenye sifa zifuatazo:
Mkristo, ila asiwe mlokole
Elimu kuanzia form 4
Awe na kazi au taaluma yeyote
Asiwe na mtoto
Awe tayari kuishi sehemu yeyote tanzania
Aliye tayari kupima hiv
Aliye na sifa na uhitaji an pm
Mkristo, ila asiwe mlokole
Elimu kuanzia form 4
Awe na kazi au taaluma yeyote
Asiwe na mtoto
Awe tayari kuishi sehemu yeyote tanzania
Aliye tayari kupima hiv
Aliye na sifa na uhitaji an pm