Hahahaha Aminawengine wana watoto
Hakika mimi ni mmojawapo wa kushuhudia nimepata mke kupitia humu na sasa hivi ni mjamzito soon tunategemea baby boy. Wanaobeza kuwa huwezi pata mke humu wana lao jambo tuWakuu,
Tunaomba wale ambao waliweka thread ya kutafuta wake, waume na wapenzi humu watuletee mrejesho kama wamefanikiwa na wanaendeleaje.
hongera mkuuHakika mimi ni mmojawapo wa kushuhudia nimepata mke kupitia humu na sasa hivi ni mjamzito soon tunategemea baby boy. Wanaobeza kuwa huwezi pata mke humu wana lao jambo tu
Weka basi kapiiicha naana huku ndo baba senu na mama senuHakika mimi ni mmojawapo wa kushuhudia nimepata mke kupitia humu na sasa hivi ni mjamzito soon tunategemea baby boy. Wanaobeza kuwa huwezi pata mke humu wana lao jambo tu
Kama ni usanii wa mahusiano basi upo humu... Kwanza wengi hawapo serious unaweza date nae ila suala la kuja kuonana ni mtihani mkubwa ... unaweza sema wote ni invisible.
tehe teheteheeeWeka basi kapiiicha naana huku ndo baba senu na mama senu
Wakuu,
Tunaomba wale ambao waliweka thread ya kutafuta wake, waume na wapenzi humu watuletee mrejesho kama wamefanikiwa na wanaendeleaje.
nawewe?Bado tunaendelea kutafuta mkuu.
eeh bado natafuta.nawewe?
aah! mbona hauniambii sasa wakati namie natafta,na hivi ni marafk kitambo ndo itakuwa pouwaeeh bado natafuta.