Natafuta mpenzi wa kike baadaye mke

Nina umri wa miaka 24, ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwaka wa pili sheria

Ni mnene wastani, maji ya kunde.

Natafuta mwanamke umri kuanzia miaka 18 hadi 24, awe na elimu kati ya form 4 na isizidi degree moja!

Nataka tuanze safari ya mahusiano baadaye ndoa!
Kama upo tayari niPM

Asanteni sana
SOMA KIJANA ,MAPENZI YAPO,UNATAFUTA MTANDAONI UTAZIWEZA TABIA ZA KUVUMILIA ZA DAKIKA 90
 
Nakushauri utafute katika mazingira yako halisi. Warembo wa mtandaoni utaishia kulia tu
 
Kawachukue wanafunzi wa Sekondari waliopata mimba. Hao hata mahari hutatozwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom