sitaki raha
Senior Member
- Jun 8, 2016
- 127
- 112
Umri wng miak 30 natafuta msichana kuanzia umri 18-25 awe mke wng sibagui dini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaani kwenu hakuna mabinti au domo zege?Umri wng miak 30 natafuta msichana kuanzia umri 18-25 awe mke wng sibagui dini
Siwapendi Watu kama ninyii.Unampangia.MTU??????mbona wewe hupati huko mtaani.Ndo.mana unavizia PmHaya mambo ya kutafuta wachumba mitandaoni ni risk, mtakuja kuoa mayezebeli.
Sio vyema jamani.Kama.huna la kuchangia unapita tu.Huyu mchumba anayetafutwa usiku hatari sana, isije ikawa ngenye ndio zimekutuma vibaya, haya wachumba njoeni huku
Maana ya jukwaa hili Ndo kama alivyofqnya.Acha kashfa..Sio lazima kufungua hapa.Fungua hata jukwaa za intelligenciaMtaani kwenu hakuna mabinti au domo zege?
Khaaa!!this is too much.Mpoje.ninyiiij..unampangia.MTU???Miaka thelathini unatafuta mchumba, ulikuwa masomoni?
Miaka thelathini unatafuta mchumba, ulikuwa masomoni?