ABiClever Junior
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 947
- 545
Aisee msiweke mabango ukitaka kupata mwanamke JF jikoki kisha zama PM oneday utafanikiwa na usikate tamaa.
mimi niliweka mabango mpaka nikachoka mwisho nilikuwa nikiweka mabango ya kutania baada ya kuona nimefeli, ila kwa7bu nilikuwa na nia kweli ili nibidi niwe nafatilia tu uzi tofauti kwa bahati nzur nilikutana na bint mmoja kwenye uzi fulani japo hakuwa na picha ya sura yake wala jina kamili lakini haikunizua mimi kumfata pm niliweza kufanya hivyo hatimae tulipeana namba za simu takribani mwezi mmoja na wiki kadhaa tulikuwa tukiwasiliana na wiki moja kabla ya leo tuliweza kuwa na mahusiano siku ya jana imenibidi nije Moshi kuonana nae nashukuru tumelifanikisha hilo hakika ndio chaguo langu japo niko na miaka 22 na yeye 25 naamini mapenzi sio umri mapenzi ni kuridhiana tu.
Thanks JF.
mimi niliweka mabango mpaka nikachoka mwisho nilikuwa nikiweka mabango ya kutania baada ya kuona nimefeli, ila kwa7bu nilikuwa na nia kweli ili nibidi niwe nafatilia tu uzi tofauti kwa bahati nzur nilikutana na bint mmoja kwenye uzi fulani japo hakuwa na picha ya sura yake wala jina kamili lakini haikunizua mimi kumfata pm niliweza kufanya hivyo hatimae tulipeana namba za simu takribani mwezi mmoja na wiki kadhaa tulikuwa tukiwasiliana na wiki moja kabla ya leo tuliweza kuwa na mahusiano siku ya jana imenibidi nije Moshi kuonana nae nashukuru tumelifanikisha hilo hakika ndio chaguo langu japo niko na miaka 22 na yeye 25 naamini mapenzi sio umri mapenzi ni kuridhiana tu.
Thanks JF.