Visionor
Member
- Nov 9, 2017
- 20
- 14
Habari wana jf,jina natafuta mke wakuoa atakaye kua na mapenzi ya dhati,umri wangu ni miaka 36,sina mtoto,wala sijawahi kuoa,sivuti wala kutumia kilevi,nina dgree ya pili,pia nimeajiriwadini mkristu,mke nimtakaye awe na umri kati ya 25-29,elimu kuanzia dgree na kuendelea,awe mweupe,awe ameajiriwa au kuajiriwa,awe mkristu hata kana ni muislamu akubali kubadili dini,sina ubaguzi wa kabila,karibu sana kwa atakaye kidhi vigezo .kwa aliye serious anitafute kwa 0783897621 au ani pm tuyajenge.