Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Vyanzo vya taarifa nchini Kenya vinaeleza kuwa Wafula Chebukati yupo mahututi na amelezwa ICU == Familia ya Mwenyekiti mstaafu wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Wafula Chebukati...
0 Reactions
3 Replies
662 Views
Kwa Sasa Siasa za Tanzania ndio zinatawala ukanda wa Africa mashariki na nchi zote wanaiga CCM Kenya Sasa kivitendo wako bado na katiba yao ya Zamani Mlale unono 😄
0 Reactions
1 Replies
412 Views
Wakuu, Itoshe kusema kwa tabia za kiafrika zinafanana. Ikulu ya Kenya, Ofisi ya Naibu Rais na Ofisi ya Mkuu wa Baraza la Mawaziri, zimeongezewa KSh5 bilioni (takriban TSh99 bilioni) za ziada kwa...
0 Reactions
5 Replies
618 Views
Niwapongeze sana wapiga kura wote walioshiriki kumkataa huyu bwana uchaguzi wa AU, Wengi walijiaminisha baba anakuwa mwenyekiti Ruto akamwingiza chaka eac wamejipanga na atashinda. Haha baadhi ya...
0 Reactions
2 Replies
444 Views
Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: First Lady Rachel Ruto held a meeting with Dr. Joyce Kithure, spouse of the DP which focused on promoting sustainable school...
1 Reactions
2 Replies
579 Views
Diwani wa Wadi ya Ikanga, Cyrus Kisavi Musyoka, anatarajiwa kufikishwa mahakamani Ijumaa kwa tuhuma za kughushi nyaraka za ununuzi wa gari ili kulaghai Bunge la Kaunti kiasi cha Ksh. 2.2 milioni...
0 Reactions
1 Replies
512 Views
Mwenyekiti Mstaafu wa Tume Huru ya Uchaguzi (IEBC), Wafula Chebukati, ameaga dunia. Pia soma: Kenya 2022 - Chebukati asimulia yaliyomkuta kabla ya kutangaza matokeo urais Kenya Jumatatu, Bw...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Kenya (KAA) inashughulikia tukio la moto uliotokea kwenye sehemu ya nyasi zinazozunguka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA). Timu ya pamoja ya...
0 Reactions
1 Replies
477 Views
BREAKING NEWS Taarifa zilizonifikia muda huu hapa zinaonesha kwamba Sehemu ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta nchini Kenya (JKIA) unawaka moto. Moto unaonekana kutoka upande wa...
1 Reactions
11 Replies
954 Views
Hawa ndiyo watu wanalinganishwa na KDF. Angalia formations na services za KDF peke yake na uniambie kama Tanzania Army is on the same level. capabilities my friend. The Kenya Army is made up of...
6 Reactions
470 Replies
76K Views
Eti ukute demu ya Kenya inapenda Pesa mpaka inakomba yote hafu havai wigi wala kula bata kwa hela aliochukua kwa men wake, demu ya Kenya INA invest halafu inakuambia ona hela uliyinipa waona...
13 Reactions
275 Replies
50K Views
Aliewahi kuwa Makamu wa Raisi wa Kenya, Mh.Kalonzo Musyoka amfariji mtoto wa rafiki yake wa muda mrefu, marehemu Daniel Kimanzi! Umegundua nini kwenye hii picha?
7 Reactions
25 Replies
1K Views
Mabadiliko na pumzi mpya inatarajiwa wakati wowote tangua waziri mkuu wa zama ni wa kenya Raila Odinga atakapotua Kenya. Matarajio na matumaini yalikua makubwa mno na ya kiwango cha juu sana...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Huyu mzee Raila Odinga anafahamika sana kwa fitina na kuharibia wenzake. Yani ana roho ya uharibifu sana, uchonganishi na majungu. Ni yeye kamuharibia Rigathi Gachagua. Machozi ya Gachagua...
4 Reactions
36 Replies
1K Views
Waafrika tuna ujuha wa ajabu sana. Yaani kumbe hata hiyo mipira tunasaidiwa.
10 Reactions
45 Replies
2K Views
Binadamu tunatakiwa kujifunza na kukumbuka kwamba HAKUNA MAHALI POPOTE KATIKA DUNIA HII AMBAPO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU Kilichomkuta Raila Odinga kiwe fundisho kwa Wanadamu wengine...
19 Reactions
82 Replies
6K Views
Aliyekuwa Gavana wa Jimbo la Kiambu, Ferdinand Waititu amehukumiwa kifungo cha miaka 12 jela ama kulipa faini ya kiasi cha Sh1.08 bilioni (Ksh53.8 milioni) baada ya kumtia hatiani kwa makosa ya...
0 Reactions
3 Replies
643 Views
Shirika la Netblocks, hivi karibuni limeripoti kuwa, kampuni ya mawasiliano ya Safaricom imezuia upatikanaji wa app ya Telegram kwa wateja wake walioko nchini Kenya. Netblock imedokeza kuwa...
0 Reactions
4 Replies
605 Views
France-Kenya: Kenyatta mounts Paris seduction operation for WTO By Rémy Darras Posted on Monday, 5 October 2020 10:44 Meeting between Emmanuel Macron and Uhuru Kenyatta, in Paris, on October 1...
6 Reactions
44 Replies
5K Views
Baada ya kumaliza Kikao cha Pamoja EAC na SADC jijini DSM Mwenyekiti wa Jumuiya ya Africa Mashariki Rais Ruto ameongea na Mabalozi wa nchi zote duniani na kuwaelezea yanayoendelea Congo Ruto...
3 Reactions
2 Replies
652 Views
Back
Top Bottom