Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Wadau hamjamboni nyote? Naamini Katiba ya Kenya imekiukwa uteuzi Naibu Rais Nimeshangaa kuona mtu aliyewahi kupigiwa kura ya kutokuwa na Imani na bunge la senate 2020 kisha kufukuzwa kwenye...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kipchumba Murkomen, ametangaza Jumatatu, Machi 31, 2025, kuwa Sikukuu ya Umma kwaajili ya kusherehekea Eid-ul-Fitr Eid-ul-Fitr, inayomaanisha “Sikukuu ya Kuvunja Funga,”...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Maafisa wa forodha nchini India wamemkamata mwanamke mmoja raia wa Kenya mwenye umri wa miaka 43 kwa kosa la kusafirisha kilo 1.7 za kokeini zenye thamani ya kati ya Ksh225 milioni na Ksh300...
5 Reactions
28 Replies
1K Views
Shirika la Ndege la Taifa, Kenya Airways, limevunja ukame wa faida wa miaka 11 kwa kutangaza faida ya Shilingi bilioni 5.4 kwa mwaka uliomalizika Desemba 31, 2024. Hili ni ongezeko kubwa...
2 Reactions
3 Replies
829 Views
Askofu Willybard Lagho wa Kanisa katoliki jimbo la Malindi, Kenya ametoa waraka kwa makasisi wote wanaosimamia parokia za dayosisi hiyo, akiwaagiza wasiwape nafasi za pekee wanasiasa wakati wa...
3 Reactions
6 Replies
469 Views
Rais wa Kenya William Ruto amesema yuko tayari kushindwa kwenye uchaguzi mkuu wa 2027 endapo hatatimiza matarajio ya Wakenya, akisisitiza kuwa hatashikilia madaraka kwa nguvu iwapo wananchi...
1 Reactions
0 Replies
380 Views
Rufiji Hydropower Project The 2,100MW Rufiji hydropower project is being built on the Rufiji River in Stielger’s Gorge, Selous Game Reserve of Tanzania. With a gross output of 5,920GWh, the plant...
4 Reactions
514 Replies
76K Views
Mbunge wa Mumias Mashariki, Peter Salasya, alipigwa na kutimuliwa kutoka Uwanja wa Nyayo wakati wa mechi kati ya Kenya na Gabon baada ya kuzuka mzozo na mashabiki. Mashabiki hao walidai kuwa...
3 Reactions
11 Replies
908 Views
Kenya's Foreign Affairs secretary Amina Mohamed. PHOTO | DIANA NGILA By PATRICK LANG’AT Posted Monday, October 3 2016 at 13:25 IN SUMMARY The post became vacant after the expiry of term of...
1 Reactions
197 Replies
22K Views
Chanzo: https://x.com/Darrenvickmell/status/1904837433637695607?t=D_cvUfRD4yeI98DSPU1TtA&s=19 Huku William Ruto akiwa ameficha commission yake aliyopewa baada ya kukubali kupeleka Polisi nchini...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Hello, This thread is specifically to help Tanzanians who misunderstand English statements because it's been happening a lot recently. We will quote the statement and the response from the...
6 Reactions
67 Replies
2K Views
WAKENYA wanaendelea kutoa hisia zao kufuatia kauli tata za Mkuu wa Majeshi (CDF) Jenerali Charles Kahariri na Mkurugenzi wa Huduma ya Kitaifa ya Ujasusi (NIS), Noordin Haji, kuwaonya raia dhidi ya...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Hustler aliahidi kuwainua ,(badala yake KAWABINUA Bodaboda na Mama Mboga (bottom-up) Baada tu ya Kuapa akaanza kulamba Asali na kusahau "hustler" wenzake. Sasa hivi wanaandamana wanaitwa WAHAINI
3 Reactions
13 Replies
720 Views
Aisee Kenya Ina Hali mbaya sana ,Deni lao ni Trilioni 200 (Ksh10T) vs Trilioni 100 za 🇹🇿 😂 😂 😂 😂 👇 👇 Serikali ya Kenya imetangaza kwamba deni la nchi hiyo limefikia shillingi trilioni 10, kiwango...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Kenya Airways will launch two additional direct flights from Nairobi’s Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) to Cape Town in South Africa from November 20. The carrier said the move follows...
3 Reactions
3 Replies
816 Views
Rais wa Kenya William Ruto pamoja na mwanasiasa maarufu nchini humo Raila Odinga wamesaini mkataba utakaowaruhusu kufanya kazi kwa ushirikiano katika kushughulikia matatizo mbalimbali...
1 Reactions
11 Replies
882 Views
Rais wa Kenya, William Ruto: “Mtaniua na majina. Mlianza na hustler, mkaenda Zakayo alafu kasongo,” President Ruto jokes days after Kenyans gave him a new nickname, El Chapo
7 Reactions
14 Replies
2K Views
Polisi nchini Kenya wameanza uchunguzi kufuatia kukamatwa kwa Collins Leitich, anayejulikana pia kama Chepkulei, kwa tuhuma za kuanzisha kituo cha polisi bandia bila idhini ya Huduma ya Kitaifa ya...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Siku chache baada ya Rais William Ruto kukataza kupiga marufuku michango ya wanasiasa kwenye nyumba za ibada viongozi wa chama cha Kenya Kwanza wakiongozwa na Farouk Kibet wamefanya harambee...
0 Reactions
1 Replies
591 Views
Kanisa la Anglikana la Kenya (ACK) limetangaza kuwa kuanzia sasa, hakuna mwanasiasa atakayeruhusiwa kupanda madhabahuni kuhutubia waumini wakati wa ibada za Jumapili au matukio yanayohusiana na...
1 Reactions
3 Replies
907 Views
Back
Top Bottom