Kenyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 414
- 313
Karibu utupie jicho yaliyomo kwenye kurasa za mbele ya magazeti leo Julai 20, 2023. Inasadikiwa wahariri wakuu wa magazeti walifikia makubaliano ya kutumia kichwa kimoja cha habari, kutoa rai kwa raia kudumisha umoja na amani.
Ikumbukwe maandamano yanatarajiwa kuendelea Leo na kesho.View attachment 2693852View attachment 2693853
View attachment 2693854
Ikumbukwe maandamano yanatarajiwa kuendelea Leo na kesho.View attachment 2693852View attachment 2693853