Utafiti wa Infotrak: Wakenya wengi wanahisi nchi inaelekea pabaya

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
Data.JPG


Utafiti huo umetokana na kazi iliyofanywa na Taasisi ya Infotrak kati ya Julai 3 na 8, 2023 kwa kuchukua kura za watu 2,400, ambapo 15% ya kura zimesema Nchi inaelekea pazuri wakati 12% wao wamesema hawajui kama Nchi inaelekea pazuri au pabaya.

Asilimia kubwa ya waliopiga kura kuwa Nchi inaelekea wanatokea Nyanza na Mikoa ya Magharibi wakati wanaoona inaelekea mwelekeo sahihi wanatokea Katikati ya Nchi, Kaskazini Mashariki na Ukanda wa Bonde la Ufa

Mambo ambayo yaliorodheshwa kuwa wachangiaji ni watendaji, kwa maana ya Rais na Baraza la Mawaziri, amani ya nchi na gharama za maisha kuwa nafuu

=============

71% Of Kenyans Believe Country Headed In Wrong Direction

The majority of Kenyans feel the country is headed in the wrong direction, a survey conducted by pollster Infotrak has established.


The survey conducted between July 3 and 8 this year, sampling 2400 respondents, found that 71 per cent of them felt the country was headed in the wrong direction.

Fifteen per cent said the country was headed in the right direction and 12 per cent were uncertain about which way it was headed.

Of those who stated that the country was heading in the wrong direction, the majority were from Nyanza and Western regions while the score of the right direction came from Central, North Eastern and Rift Valley.

Factors that were listed as the contributors to the country heading in the right direction were the executive, meaning the president and cabinet, the peace in the country, and the cost of living being affordable.

Other respondents said it was because their candidate of choice was in power.

The reasons given by those who felt the country was heading in the wrong direction included that the cost of living was high, unemployment, poverty, and poor governance.

Testing the awareness levels of Kenyans on the Finance Act 2023, 87 per cent said they were aware of the act and its proposals while 13 per cent others said they were not aware.

“We asked, do you support the tax measures proposed by the government, 22 per cent said they do, 78 per cent do not support,” Johvine Wanyingo, the regional director of Infotrak said.


Source: citizen.digital
 
Back
Top Bottom