Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Shirika la Umeme la Kenya Power limetangaza nafuu ya punguo la bei ya Umeme kwa Wakenya baada ya kupunguza tozo za tokeni katika ukaguzi wa hivi punde wa bei ya umeme. Katibu Mkuu wa Nishati Alex...
0 Reactions
2 Replies
967 Views
Ukioa demu mkenya, tofauti yako na alie oa mzungu ni moja tu. Wewe ulie oa demu wa kikenya umeoa mzungu feki na yule alie oa demu wa kizungu ameoa mzungu orojino. Ila wewe ndio utapata tatu kwa...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Kenya inaongozwa na mfumo wa kibepari huku tanzania tumepitia mfumo wa ujamaa.Cha kushangaza wenzetu Kenya ni wazalendo sana kwenye nchi yao hasa linapokuja swala la uraia au mtu anapoishambulia...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Kumbe Kiongozi anapopokea Madaraka na kukuta nchi ilikuwa inaliwa na mafisadi kila kona ni lazima kiongozi huyo aoneshe mbinu binafsi za kunusuru Taifa. Magufuli alikuwa haingilii Mahakama kabisa...
2 Reactions
2 Replies
629 Views
Rais wa Kenya William Ruto Jumamosi amewalaumu maafisa wa serikali kwa uzembe na rushwa kufuatia mlipuko mbaya wa gesi uliotokea jijini Nairobi na kuua watu watatu na kujeruhi wengine 280. Lori...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Watu kadhaa wanahofiwa kufariki katika kijiji cha Mradi, mtaa wa Embakasi, mjini Nairobi baada ya mtambo wa gesi kulipuka muda mfupi kabla ya sita usiku wa Alhamisi, na kuliingiza jiji katika...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Mkenya mmoja anaeishi Ulaya kwene interview ameeleza kua waafrica wamelaaniwa. Nayy kuwa mweusi haimfanyi kusema ukweli kwamba waafrica wanalaaana Hii ndio maana katika nchi za waafrica hamna...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Marekani na washirika wake wanatumia shinikizo na nguvu laini kwa Kenya kuunga mkono vita dhidi ya Wahouthi nchini Yemen - na kwa kuongeza vita vya Israel huko Gaza - wakilenga kumaliza mfululizo...
1 Reactions
10 Replies
830 Views
A Mombasa court today sentenced a middle-aged Tanzanian woman to 45 years in prison for trafficking heroin worth Ksh 16,167,000. Principal Magistrate Hon. Martin Rabera found Maimuna Jumanne Amir...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
DRC imemuondoa barozi wake Nairobi baada ya kuituhumu Kenya kuhusika na kuwahifadhi waasi wa M23. Ikumbukwe pia kabla ya Kuyafukuza majeshi ya Africa mashariki DRC wanajeshi wa kenya hawakuweza...
6 Reactions
43 Replies
4K Views
Kwenu Wakenya?? Kenya water bodies Maziwa 1. Lake turkana 2. Lake victoria 3. Laki kisumu 4. 5….Ongoing list on picture below Bahari 1. Bahari ya hindi Mito 1. River Tana 2. River athi 3. River...
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Bandari ya Mombasa imekumbwa na chnamogo kubwa ya msongamano wa meli kiasi cha watumiaji bandari hiyo kuwaandikia wateja wao na kuwapa tahadhari juu ya kuchelewa kupakuliwa kwa mizigo yao kwa...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
KENYA: Idadi kubwa ya Wanawake wameandamana katika Miji 11 ya wakipinga kuongezeka kwa Vitendo vya Ukatili Dhidi yao yakiwemo Mauaji mfululizo yaliyoripotiwa kati ya Desemba 2023 hadi Januari...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kenya yasema Ugonjwa wa Red Eye ulioripotiwa kusambaa kwa kasi nchini Tanzania na kuripotiwa Kesi zaidi ya 800 sasa umeyakumba maeneo ya Pwani ya nchi hiyo yakiwemo Mombasa na Kilifi Hadi sasa...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Waziri wa Mambo ya Nje, Musalia Mudavadi, amekanusha ripoti za kuwa Kenya ina uhusiano mbaya na majirani zake, licha ya mizozo kadhaa iliyotokea hivi karibuni ambapo alisisitiza inatatuliwa...
0 Reactions
2 Replies
951 Views
Mahakama Kuu ya Kenya imezuia Serikali kupeleka Askari kupambana na magenge Nchini Haiti Mahakama imeeleza kuwa hatua ya kupeleka Askari Polisi ni kinyume cha Sheria kwa vile Baraza la Usalama la...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
#KENYA: Mahakama ya Rufaa imeongeza amri ya kuzuia Serikali isikusanye Kodi Maalum ya Ujenzi wa Nyumba ambayo ni kati ya zinazotekelezwa kupitia Sheria ya Fedha ambayo imelalamikiwa na kuongeza...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mnamo mwaka 2020 Gavana wa Machakos Dkt. Alfred Mutua alizindua makao makuu mapya ya kaunti hiyo. Jengo hilo jipya, ambalo linafananishwa na Ikulu ya Marekani - lilifunguliwa rasmi Jumatano, Mei...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Nchi ya Kenya ukiondoa labda Mombasa, ilikosewa uanzishwaji wake, walioianzishwa (Wazungu) hawakujali tofauti kubwa ya Kiutamaduni ya watu waishio nchini humo, ikumbukwe kwamba nchi ya Kenya...
4 Reactions
69 Replies
7K Views
Kulingana na ripoti ya jukwaa la habari za biashara nchini Kenya, BusinessDaily, IMF ilifichua kuwa Kenya ni miongoni mwa wakusanyaji wakuu wa mapato yake kwani benki hiyo inapanga kupata...
0 Reactions
0 Replies
893 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…