Rio Shabazz
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 1,334
- 2,169
Mkenya mmoja anaeishi Ulaya kwene interview ameeleza kua waafrica wamelaaniwa. Nayy kuwa mweusi haimfanyi kusema ukweli kwamba waafrica wanalaaana Hii ndio maana katika nchi za waafrica hamna kinachoendelea
Ameenda mbali akidai
Yy akiwa marekani Yuko hatarini kuuliwa na mwamfrica (mmarekan mweusi) mwenzie zaidi ya mweupe.
Wamarekani weusi ndio wanaongoza kutoa mimba marekani kuliko jamii nyingine za wazungu ,na watu wa Asia.Hii inamaanisha waafrica wanachukia sana waafrica wenzao ambao hawajazaliwa.
Je we mtazamo wako ni nini katika hili??
Tazama video chini
Ameenda mbali akidai
Yy akiwa marekani Yuko hatarini kuuliwa na mwamfrica (mmarekan mweusi) mwenzie zaidi ya mweupe.
Wamarekani weusi ndio wanaongoza kutoa mimba marekani kuliko jamii nyingine za wazungu ,na watu wa Asia.Hii inamaanisha waafrica wanachukia sana waafrica wenzao ambao hawajazaliwa.
Je we mtazamo wako ni nini katika hili??
Tazama video chini