LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,119
- 27,123
Ukioa demu mkenya, tofauti yako na alie oa mzungu ni moja tu. Wewe ulie oa demu wa kikenya umeoa mzungu feki na yule alie oa demu wa kizungu ameoa mzungu orojino.
Ila wewe ndio utapata tatu kwa sababu mtu anae iga siku zote huwa ana overreact. Anaiga mpaka hata Yale yasiyo faa kuigwa.
Wakenya wanawatukuza sana wazungu na kuutukuza uzungu. Kwao wazungu ni kama miungu yao ya pili.
Shida moja ya kumtukuza mtu na kumuona yeye ni bora kuliko wewe basi utajikuta una jaribu kufanya kila kitu ambacho una amini huyo mtu ana kifanya ili ku fit inn.
Wakenya wengi wana amini wazungu wameupokea na kukubali ushoga na usagaji. Now unaona wanawake wengi sana wa Kenya wameingia kwenye usagaji.
Wanawake wengi sana wa Kenya hasa wa Nairobi wengi wameingia kwenye usagaji and they are so proud and public about it cause they think it makes them look more white..
Barani Africa hakuna watu walio athiriwa na uzungu kama wakenya. Kibaya zaidi wameathiriwa na the wrong part of uzungu courtesy of internet and movies / series.
Wewe unae waambia hayo mambo sio sahihi ndio wana kuona eti mshamba kwa sababu eti hadi wazungu wanafanya.
Usagaji kama ilivyo kwa ushoga ni uhalifu wa mfumo wa Kijamii.
Jamii yoyote ile ili uendelee inahitaji kuwa na wanawake ambao kichwani wapo sober na ambao mind zao hazijawa corrupted.
Kwa hali hii ninayo iona kuhusu wanawake wa Kenya mambo yakiendelea hivi jamii ya Kenya itaenda kuanguka..
Ndio maana Nyerere hakutakaga watanzania wasome kwa kiingereza kuanzia primary kwa sababu alijua kuna ushenzi mwingi sana ambao umeandikwa kwa lugha ya kiingereza...
Wewe unae struggle kulipa mamilioni kumlipia mwanao shule ya EM jua kwamba mtoto wako ataanza kujifunza mambo ya kidhwalimu akiwa bado mdogo kwa sababu udhalimu mwingi umeandikwa kwenye lugha ya kiingereza.
Ila wewe ndio utapata tatu kwa sababu mtu anae iga siku zote huwa ana overreact. Anaiga mpaka hata Yale yasiyo faa kuigwa.
Wakenya wanawatukuza sana wazungu na kuutukuza uzungu. Kwao wazungu ni kama miungu yao ya pili.
Shida moja ya kumtukuza mtu na kumuona yeye ni bora kuliko wewe basi utajikuta una jaribu kufanya kila kitu ambacho una amini huyo mtu ana kifanya ili ku fit inn.
Wakenya wengi wana amini wazungu wameupokea na kukubali ushoga na usagaji. Now unaona wanawake wengi sana wa Kenya wameingia kwenye usagaji.
Wanawake wengi sana wa Kenya hasa wa Nairobi wengi wameingia kwenye usagaji and they are so proud and public about it cause they think it makes them look more white..
Barani Africa hakuna watu walio athiriwa na uzungu kama wakenya. Kibaya zaidi wameathiriwa na the wrong part of uzungu courtesy of internet and movies / series.
Wewe unae waambia hayo mambo sio sahihi ndio wana kuona eti mshamba kwa sababu eti hadi wazungu wanafanya.
Usagaji kama ilivyo kwa ushoga ni uhalifu wa mfumo wa Kijamii.
Jamii yoyote ile ili uendelee inahitaji kuwa na wanawake ambao kichwani wapo sober na ambao mind zao hazijawa corrupted.
Kwa hali hii ninayo iona kuhusu wanawake wa Kenya mambo yakiendelea hivi jamii ya Kenya itaenda kuanguka..
Ndio maana Nyerere hakutakaga watanzania wasome kwa kiingereza kuanzia primary kwa sababu alijua kuna ushenzi mwingi sana ambao umeandikwa kwa lugha ya kiingereza...
Wewe unae struggle kulipa mamilioni kumlipia mwanao shule ya EM jua kwamba mtoto wako ataanza kujifunza mambo ya kidhwalimu akiwa bado mdogo kwa sababu udhalimu mwingi umeandikwa kwenye lugha ya kiingereza.