Rais Ruto awalaumu maafisa wa serikali kwa uzembe kufuatia mlipuko mbaya wa gesi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
Keny moto.jpg
Rais wa Kenya William Ruto Jumamosi amewalaumu maafisa wa serikali kwa uzembe na rushwa kufuatia mlipuko mbaya wa gesi uliotokea jijini Nairobi na kuua watu watatu na kujeruhi wengine 280.

Lori lililokuwa limebeba mitungi ya gesi lilipuka kabla ya saa sita usiku siku ya Alhamisi huko Embakasi, wilaya moja katika mji mkuu wa Nairobi yenye wakazi wengi, na kusababisha uharibifu mkubwa na kupelekea watu kukimbia ili kunusuru maisha yao.

Taasisi ya Petroli ya Afrika Mashariki ilisema Ijumaa kwamba mlipuko huo ulitokea kwenye ghala haramu ya kujazia na kuhifadhi mafuta, ambako mmliki wake na baadhi ya wateja walikutwa na hatia na kuhukumiwa mwezi Mei mwaka 2023.

Lakini Mamlaka ya Mazingira Kenya (NEMA) imesema Jumamosi kwamba kampuni ya nishati Maxxis Nairobi Energy ilipata leseni tarehe 2 Februari mwaka jana kusimamia ghala hiyo.

“Uchunguzi wa awali umebaini kuwa maafisa wanne wa NEMA walitoa leseni bila kuheshimu taratibu na kwa hiyo wana hatia,” mwenyekiti wa bodi ya NEMA Emilio Mugo amesema katika taarifa.

=================


Ruto orders sacking of officials who licensed the Embakasi gas plant

President William Ruto has ordered the sacking and prosecution of state officials who allowed the Embakasi gas plant to operate despite the Energy and Petroleum Regulatory Authority (EPRA) rejecting its work permit on several occasions.

Speaking in Lugari, Kakamega County, Ruto said that the officials are "incompetent and corrupt" and thus should not be allowed to hold any office in government.

“I have asked the ministers involved to ensure that the government officials who issued licenses for gas installation in residential areas when it was very clear it was the wrong thing to do, to be dismissed and prosecuted for the crimes they have committed,” said Ruto.

His remarks come two days after a gas storage and filling plant exploded in Embakasi killing three people, leaving hundreds of others injured and homes destroyed.

According to a statement by EPRA, the Liquefied Petroleum Gas (LPG) plant was denied a permit as it did not meet the stipulated safety distance standards.

However, despite EPRA stating several times that it could not operate, the plant was fully functional.

A statement by NEMA Board Chairperson Emilio Mugo revealed that the owners of the plant were given a go-ahead by officials from NEMA.

According to Mugo, the accused among them NEMA’s Director of Environmental Compliance and his deputy unprocedurally processed the license giving the plant the right to operate.

“After a thorough assessment of the licensing procedure and processes the Board of Management has noted with great concern some serious gaps in the issuance of the license to the LPG plant in question. Further, preliminary investigation has revealed that four NEMA officers unprocedurally processed the license and are therefore culpable,” read the statement by Mugo.

Source: standardmedia
 
Back
Top Bottom