Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,090
- 2,710
DRC imemuondoa barozi wake Nairobi baada ya kuituhumu Kenya kuhusika na kuwahifadhi waasi wa M23.
Ikumbukwe pia kabla ya Kuyafukuza majeshi ya Africa mashariki DRC wanajeshi wa kenya hawakuweza kupambana na M23 walivokua DRC hivo kuonekana kuna ushirikiano na waasi.
Jeshi la Africa mashariki halikuweza wala kutaka kupigana na M23 tofauti na majeshi ya SADC ambayo yaliumaliza mgogoro wa waasi mwaka 2013.
Ikumbukwe pia kabla ya Kuyafukuza majeshi ya Africa mashariki DRC wanajeshi wa kenya hawakuweza kupambana na M23 walivokua DRC hivo kuonekana kuna ushirikiano na waasi.
Jeshi la Africa mashariki halikuweza wala kutaka kupigana na M23 tofauti na majeshi ya SADC ambayo yaliumaliza mgogoro wa waasi mwaka 2013.