Propaganda za bandari ya Mombasa zafika mwisho

juma kipala

Member
Oct 13, 2014
15
8
Bandari ya Mombasa imekumbwa na chnamogo kubwa ya msongamano wa meli kiasi cha watumiaji bandari hiyo kuwaandikia wateja wao na kuwapa tahadhari juu ya kuchelewa kupakuliwa kwa mizigo yao kwa zaidi ya siku kumi

Barua ya Januari 18, 2024 kwenda kwa watumiaji wa bandari hiyo inaeleza kuwepo kwa changamoto hiyo.

IMG-20240121-WA0607.jpg

Hivi karibuni pamekuwa na kampeni kubwa ya kipropaganda za kibiashara zilizoasisiwa na bandari ya Mombasa dhidi ya Bandari ya Dar es salaam kuhusiana na walichokiita msongamano katika bandari ya Dar es salaam na kwamba wateja wameamua kuikimbia bandari hiyo ya DSM na kukimbilia kwao jambo ambalo haliwezi kuthibitika kwa asilimia hata 10
propaganda hizo zilielekea kuwaingia baadhi ya watanzania nikiwemo mimi hadi pale niliposikia ufafanuzi wa kibiashara ya mizigo kutoka kwa wataalam wa bandari kuwa miezi ya kuanzia oktoba hadi januari ni miezi ambayo bandari nyingi Duniani hupata mizigo mingi kutokana na shughuli nyingi hususan sherehe na siku kuu za mwisho na mwanzo wa mwaka

hii ndio kusema kwamba kila unapofika mwisho wa mwaka biashara na wafanyabiashara huagiza zaidi ya kawaida hivyo kusababisha kuwepo na wingi wa meli kulinganisha na mazoea wingi ambao kiukweli ni neema badala ya laana kama wengi walivyotamani itafsirike.
 
Ukweli na usemwe.
Meli kuongezeka bandari yoyote ni jambo linalotamaniwa na kila mdau wa bandari. ni basi tu huku kwetu watu wanapenda kulaumiana kama sehemu ya kutatua changamoto
 
Bandari ya Mombasa imekumbwa na chnamogo kubwa ya msongamano wa meli kiasi cha watumiaji bandari hiyo kuwaandikia wateja wao na kuwapa tahadhari juu ya kuchelewa kupakuliwa kwa mizigo yao kwa zaidi ya siku kumi

Barua ya Januari 18, 2024 kwenda kwa watumiaji wa bandari hiyo inaeleza kuwepo kwa changamoto hiyo.

View attachment 2880381
Hivi karibuni pamekuwa na kampeni kubwa ya kipropaganda za kibiashara zilizoasisiwa na bandari ya Mombasa dhidi ya Bandari ya Dar es salaam kuhusiana na walichokiita msongamano katika bandari ya Dar es salaam na kwamba wateja wameamua kuikimbia bandari hiyo ya DSM na kukimbilia kwao jambo ambalo haliwezi kuthibitika kwa asilimia hata 10
propaganda hizo zilielekea kuwaingia baadhi ya watanzania nikiwemo mimi hadi pale niliposikia ufafanuzi wa kibiashara ya mizigo kutoka kwa wataalam wa bandari kuwa miezi ya kuanzia oktoba hadi januari ni miezi ambayo bandari nyingi Duniani hupata mizigo mingi kutokana na shughuli nyingi hususan sherehe na siku kuu za mwisho na mwanzo wa mwaka

hii ndio kusema kwamba kila unapofika mwisho wa mwaka biashara na wafanyabiashara huagiza zaidi ya kawaida hivyo kusababisha kuwepo na wingi wa meli kulinganisha na mazoea wingi ambao kiukweli ni neema badala ya laana kama wengi walivyotamani itafsirike.
NAAM NAAM
 
Mbona hizi zako ndio propaganda? Meli ziliongezeka kwa asilimia 12%, bandarini Mombasa ndani ya mwezi mmoja tu wa Desemba. Kisa utepetevu na ngonjera ngonjera kwenye bandari zingine zote ukanda huu.

'Delays' kwasababu ya kuongezeka kwa meli zinazotia nanga Mombasa zilitegemewa. Hadi KPA wakatoa tahadhari kuhusu suala hilo tarehe 31 Desemba mwaka jana.

'Berthing delays' bandarini Mombasa, kwa sasa, - siku 3-6.(Hapo 'shipping lines' zinatoa notisi ya kuongezeka kwa muda wa kungoja, kwa wateja wao).

'Berthing delays' za kawaida bandarini Dar-es-Salaam, -siku 14.

Hawakukosea waliposema kwamba wajinga ndio waliwao. ...na bado kipigo kipo pale pale, hadi mseme!
 
Mbona hizi zako ndio propaganda? Meli ziliongezeka kwa asilimia 12%, bandarini Mombasa ndani ya mwezi mmoja tu wa Desemba. Kisa utepetevu na ngonjera ngonjera kwenye bandari zingine zote ukanda huu.

'Delays' kwasababu ya kuongezeka kwa meli zinazotia nanga Mombasa zilitegemewa. Hadi KPA wakatoa tahadhari kuhusu suala hilo tarehe 31 Desemba mwaka jana.

'Berthing delays' bandarini Mombasa, kwa sasa, - siku 3-6.(Hapo 'shipping lines' zinatoa notisi ya kuongezeka kwa muda wa kungoja, kwa wateja wao).

'Berthing delays' za kawaida bandarini Dar-es-Salaam, -siku 14.

Hawakukosea waliposema kwamba wajinga ndio waliwao. ...na bado kipigo kipo pale pale, hadi mseme!
Wewe ni miongoni mean wajinga wakubwa hapa ndani, Dar Port Iko na 12 berths, na wastani wa 1 to 2 days kushusha meli, na wastani wa meli 20 huja bandarini kwa siku Moja, Sasa piga hesabu meli Moja itasubiri muda gani?. Propaganda za serikali yenu ndizo zilizosababishwa mkajengewa reli bovu na outdated na diesel trains
 
Wewe ni miongoni mean wajinga wakubwa hapa ndani, Dar Port Iko na 12 berths, na wastani wa 1 to 2 days kushusha meli, na wastani wa meli 20 huja bandarini kwa siku Moja, Sasa piga hesabu meli Moja itasubiri muda gani?. Propaganda za serikali yenu ndizo zilizosababishwa mkajengewa reli bovu na outdated na diesel trains
Eti piga hesabu, utakuwa una utindio wa ubongo we kibwengo. Unadhani takwimu za meli na mizigo bandarini huwa zinafanywa kwa hesabu kama za BODMAS?

Kwa taarifa yako bandari ya Mombasa ina berth 19, kwahivyo 'capacity' yake ni zaidi ya 150% ya bandari ya dar. Mizigo ambayo huwa inapita bandari ya Mombasa, kila mwaka, ni nyingi zaidi ya bandari ZOTE za Tanzania kwa pamoja.

Mwezi wa Desemba meli zilikuwa zinashusha mizigo ya kuelekea Dar bandarini Mombasa. Kisa meli ambazo zilitia nanga Dar tarehe 15 Novemba, bado hazikuwa zimeanza kushusha mizigo tarehe 7 Desemba. Hizo ni siku zaidi ya 20!

Hizo ni taarifa kutoka kwa Ignazio Messina, 'shipping line' kutoka Italia sio serikali ya Kenya wala wakenya.

 
Eti piga hesabu, utakuwa una utindio wa ubongo we kibwengo. Unadhani takwimu za meli na mizigo bandarini huwa zinafanywa kwa hesabu kama za BODMAS?

Kwa taarifa yako bandari ya Mombasa ina berth 19, kwahivyo 'capacity' yake ni zaidi ya 150% ya bandari ya dar. Mizigo ambayo huwa inapita bandari ya Mombasa, kila mwaka, ni nyingi zaidi ya bandari ZOTE za Tanzania kwa pamoja.

Mwezi wa Desemba meli zilikuwa zinashusha mizigo ya kuelekea Dar bandarini Mombasa. Kisa meli ambazo zilitia nanga Dar tarehe 15 Novemba, bado hazikuwa zimeanza kushusha mizigo tarehe 7 Desemba. Hizo ni siku zaidi ya 20!

Hizo ni taarifa kutoka kwa Ignazio Messina, 'shipping line' kutoka Italia sio serikali ya Kenya wala wakenya.

According to them, any negative news about Tanzania must come from a Kenyan. 😂
 
Back
Top Bottom