KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Hatimae Makamu Mwenyekiti wa CCM kasema sio lazima Tubadili KATIBA ila Tubadili Sheria za Uchaguzi kauli hii ina maana Tuendelee kuwa na Katiba iliyopo Katiba yenye Mapùngufu lukuki Katiba...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Ukitaka kujua hii nchi unafiki ni mkubwa, tazama tulivyo kidedea kuminyana na maswala ya bandari wakati swala la katiba (ambalo ndio source ya haya yote) tumesinzia. CCM na katiba leo hii ndio...
1 Reactions
3 Replies
477 Views
Kama heading inavyosomeka apo chini ni video clip ya Padri kitima akizungumzia mambo ya katiba na kutii sheria za nchi zilizopo.
3 Reactions
3 Replies
555 Views
Kanisa la KKKT linategemea kuifanyia marekebisho kadhaa Katiba yake ikiwemo Kuanzisha Chombo cha Juu kitakachosimamia Maadili ya Viongozi wakiwemo Maaskofu Aidha Askofu mkuu wa KKKT hatakuwa...
0 Reactions
0 Replies
491 Views
Baada ya mapumziko mafupi Chadema kuendeleza 255 Operesheni Katiba Mpya Okoa Bandari Zetu kanda ya Serengeti Tarehe 25/8/2023 watakuwa Shinyanga Mjini kwa mh Patrobas Katambi Mlale unono 😀😀
1 Reactions
4 Replies
440 Views
Tathimini ya uharifibwa mazao
0 Reactions
0 Replies
445 Views
“Kwa bahati mbaya alidhalilishwa mbele za watu kwa kuambiwa eti hajui hesabu moja na moja anasema tatu. Hivi kweli Mzee Jumbe msomi mzima hajui hesabu? Huu uruhani wa Tanganyika ndiyo fitna...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Ni mtanganyika gani asiyetaka bandari iwe na ufanisi ili kupata mapato na kuendeleza uchumi wa taifa letu? Mkataba wa DP World una ukakasi ndio maana Watanganyika tunapinga. Tuwe na Katiba, Rais...
2 Reactions
7 Replies
632 Views
Kuelekea mchakato wa Katiba Mpya ni vyema tukaanza kuangazia baadhi ya maeneo yenye ukakasi ndani ya Katiba ya sasa. Ibara ya 18(1) Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru kuwa na...
0 Reactions
1 Replies
686 Views
Mambo mengine yote kila Mtu anayajua wala hayahitaji Elimu Chadema watuelimishe faida za Serikali Moja na Serikali Tatu Ahsante!
2 Reactions
5 Replies
585 Views
Misingi yote na nchi na utawala huwekwa kwenye katiba ila pale ambapo katiba haina meno basi ni maarafa kwa nchi husika. Katiba ni msingi wa kila jambo kuanzia uwajibikaji na utunzaji wa...
1 Reactions
1 Replies
610 Views
Kichwa: Umuhimu wa Katiba Mpya kwa Maendeleo ya Tanzania na watanzania Katiba ni waraka muhimu unaounda msingi wa mfumo wa kisiasa na kijamii katika nchi yoyote. Tanzania, kama nchi nyingine...
0 Reactions
0 Replies
884 Views
  • Poll
Tafiti ni muhimu katika maisha yetu ya kila siku pengine ndiyo huchukua nafasi muhimu ya maamuzi katika maisha yetu. Leo, binafsi ningependa kujua takwa/dai la katiba liko kwa kiwango kipi ndani...
0 Reactions
5 Replies
876 Views
Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaruhusu rais kuongoza mihula miwili (2) mfululizo kwa maana ya miaka 10.. ila ikiwapendeza wabunge wetu wanaweza wakafanya namna kurekebisha hicho...
1 Reactions
5 Replies
880 Views
Inakera, inaudhi na inauma sana kuona katiba yetu inawafanya wananchi kuwa wanyonge. Hawana sauti, hawana maamuzi na wala hawawezi kupindua chochote kilichoamuliwa na viongozi (serikali). Chanzo...
2 Reactions
5 Replies
763 Views
Spika wa bunge, msemaji wa serikali na Waziri mkuu wanamjibu nani kuhusiana na hili sakata la bandari kuuzwa? Je wanawajibu wananchi au Wabunge waliuopotasha umma au wanawajibu DP World...
0 Reactions
0 Replies
728 Views
Tunaitaka katiba itakayoondoa ukiritimba na udikiteta wa viongozi Tunaitaka katiba ambayo itakuwa ni ya wananchi na siyo kuwa ya viongozi Tunataka katiba itakayoondoa udikiteta wa viongozi...
1 Reactions
2 Replies
568 Views
Ni mapendekezo tu Rais wa JMT akitoka Zanzibar Waziri mkuu awe Makamu wa kwanza wa Rais wa JMT na Rais wa Zanzibar awe Makamu wa Pili wa Rais wa JMT Rais wa JMT akitoka Bara basi Rais wa...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Alitoa kauli hiyo baada ya ofisi yake ya msajili wa vyama vya siasa kuelekea kukutana na baraza la vyama vya siasa nchini (bila ushiriki wa Chadema). Kujadili hatua za mwanzo za utekelezaji wa...
0 Reactions
1 Replies
834 Views
Back
Top Bottom