johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,992
- 142,007
Ni mapendekezo tu
Rais wa JMT akitoka Zanzibar Waziri mkuu awe Makamu wa kwanza wa Rais wa JMT na Rais wa Zanzibar awe Makamu wa Pili wa Rais wa JMT
Rais wa JMT akitoka Bara
basi Rais wa Zanzibar awe Makamu wa kwanza wa Rais wa JMT na Waziri mkuu awe Makamu wa Pili wa Rais wa JMT
Nawasilisha!
Rais wa JMT akitoka Zanzibar Waziri mkuu awe Makamu wa kwanza wa Rais wa JMT na Rais wa Zanzibar awe Makamu wa Pili wa Rais wa JMT
Rais wa JMT akitoka Bara
basi Rais wa Zanzibar awe Makamu wa kwanza wa Rais wa JMT na Waziri mkuu awe Makamu wa Pili wa Rais wa JMT
Nawasilisha!