Tuseme mtu anataka kununua kiwanja
Lakini hajui achague viwanja vilivyopo kati ya Bagamoyo Road vs Morogoro Road, utamwambia aende wapi?
Kibaha au Bagamoyo?
Ni sehemu gani itakuwa na thamani na...
Je, wahitaji ushauri kuhusu ujenzi?
Hapa ndipo mahala pake.
Piga au wasap. 0756244608
Uliza kuhusu ujenzi wa boma (walling)
Uliza kuhusu kupaua
Uliza kuhusu kupiga plaster
Uliza kuhusu plumbing...
Nahitaji haya mabati kwa ajili ya kuextend chumba cha ofisi nje ya jengo kubwa.
Au kama kuna mtu anajua material ambazo ni za uzito mwepezi na hazipenyezi maji wala kuoza anisaidie.
Unapojenga msingi wa nyumba ya kuishi tumia resho 1:3
Yaani cement mfuko 1 tumia mchanga ndoo 6 kubwa
cement tumia 42 n au 42 r sehemu zenye maji maji
Napatikana kwa namba 0743 257 669
Kwa kazi...
Kwa kazi za kujenga nyumba za kisasa nitafute 0743 257 669
napatikana Dsm.
Nyumba ina vyumba 3 vya kulala
1 master
2 self
seble
jiko
dinning
jiko
store
prayer room
Hapa wazee napigwa? Nyumba ina vyumba vitatu na iko mstatili ameniambia milioni moja na laki mbili, vifaa vyote ni vyangu maeneo ya Dar iko sawa? Na mwingine kaniambia laki nane na nusu lakini...
hii ramani nimeipenda ila inamaboresho kidogo nilihitaji mtaalam aiweke kwenye vipimo pamoja na 3d ikiwa bila BOQ. vitu vya kurekebisha ni hapo kwenye kuiondoa dinning ibaki vyumba vitatu...
Faida za Kufanya Curing kwenye Ujenzi (Hasa Saruji/Concrete)
Curing ni mchakato wa kudumisha unyevu, joto na muda unaofaa ili saruji iweze kuwa na nguvu kamili baada ya kumwaga. Ni hatua muhimu...
Wataalam wa kutengeneza garden na kupanda bustani za maua kwenye makazi, Ofisi na maeneo yanayozunguka makazi ya watu. Karibuni Sana Kwa huduma Bora. Piga Namba: 0714693107
Habari ya majukumu ndugu zangu mafundi tiles.
Eti njia sahihi ya kubandika hizo tiles hapo pichani zinate vizuri hata watoto wakizichezea zisitoke ni ipi kati ya kutumia gundi yake au kuzibandika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.