Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Tuseme mtu anataka kununua kiwanja Lakini hajui achague viwanja vilivyopo kati ya Bagamoyo Road vs Morogoro Road, utamwambia aende wapi? Kibaha au Bagamoyo? Ni sehemu gani itakuwa na thamani na...
7 Reactions
48 Replies
1K Views
  • Featured
Je, wahitaji ushauri kuhusu ujenzi? Hapa ndipo mahala pake. Piga au wasap. 0756244608 Uliza kuhusu ujenzi wa boma (walling) Uliza kuhusu kupaua Uliza kuhusu kupiga plaster Uliza kuhusu plumbing...
14 Reactions
398 Replies
23K Views
Kitendo cha kukopa kiwanja ni ishara tosha kwamba huna hela tafuta hela
7 Reactions
28 Replies
480 Views
Nahitaji haya mabati kwa ajili ya kuextend chumba cha ofisi nje ya jengo kubwa. Au kama kuna mtu anajua material ambazo ni za uzito mwepezi na hazipenyezi maji wala kuoza anisaidie.
0 Reactions
2 Replies
196 Views
Nipo Dar es salaam, nahitaji hizi materials.
0 Reactions
5 Replies
154 Views
Unapojenga msingi wa nyumba ya kuishi tumia resho 1:3 Yaani cement mfuko 1 tumia mchanga ndoo 6 kubwa cement tumia 42 n au 42 r sehemu zenye maji maji Napatikana kwa namba 0743 257 669 Kwa kazi...
2 Reactions
13 Replies
349 Views
Kwa kazi za kujenga nyumba za kisasa nitafute 0743 257 669 napatikana Dsm. Nyumba ina vyumba 3 vya kulala 1 master 2 self seble jiko dinning jiko store prayer room
11 Reactions
29 Replies
2K Views
Hapa wazee napigwa? Nyumba ina vyumba vitatu na iko mstatili ameniambia milioni moja na laki mbili, vifaa vyote ni vyangu maeneo ya Dar iko sawa? Na mwingine kaniambia laki nane na nusu lakini...
10 Reactions
44 Replies
1K Views
Karibuni Kama unataka kupaua nyumba yako nicheki 0743 257 669 napatikana Dsm kokote tunakuja kupaua nyumba za kisasa
1 Reactions
3 Replies
157 Views
Nina uzoefu na kufanya kazi kwenye ujenzi kama Kuna mtu anataka mtu wa kusimamia ujenzi wa nyumba yake Niko hapa
0 Reactions
10 Replies
218 Views
Hivi kwanini Jiji la Dar es salaam hakuna tofali za kuchoma tofauti na mikoa mingi ya Tanzania, je tofali za kuchoma ni ishara ya umaskini ?
13 Reactions
188 Replies
2K Views
Natafuta hii course ya Mike Freeman Autocad Complete (Offline)
0 Reactions
1 Replies
284 Views
hii ramani nimeipenda ila inamaboresho kidogo nilihitaji mtaalam aiweke kwenye vipimo pamoja na 3d ikiwa bila BOQ. vitu vya kurekebisha ni hapo kwenye kuiondoa dinning ibaki vyumba vitatu...
1 Reactions
3 Replies
363 Views
Faida za Kufanya Curing kwenye Ujenzi (Hasa Saruji/Concrete) Curing ni mchakato wa kudumisha unyevu, joto na muda unaofaa ili saruji iweze kuwa na nguvu kamili baada ya kumwaga. Ni hatua muhimu...
1 Reactions
3 Replies
228 Views
Wataalam wa kutengeneza garden na kupanda bustani za maua kwenye makazi, Ofisi na maeneo yanayozunguka makazi ya watu. Karibuni Sana Kwa huduma Bora. Piga Namba: 0714693107
0 Reactions
0 Replies
97 Views
Nimekutana na aa array of skimming materials. Ni ipi inafaa kwa skimming ya kuta baada ya kupiga plasta kuta
2 Reactions
48 Replies
5K Views
Habari ya majukumu ndugu zangu mafundi tiles. Eti njia sahihi ya kubandika hizo tiles hapo pichani zinate vizuri hata watoto wakizichezea zisitoke ni ipi kati ya kutumia gundi yake au kuzibandika...
3 Reactions
28 Replies
506 Views
Back
Top Bottom