Ni wataalam wa kuaminika. Wenye weledi na KAZI zao, ambao wamejipambanua Kwa wigo mpana kuhakikisha jamii inapata huduma Bora zaidi. Lakini wanaamini kuwa MAZINGIRA YAKO NI AFYA YAKO. Tupigie Kwa...
Ni wataalam wa kuaminika. Wenye weledi na KAZI zao, ambao wamejipambanua Kwa wigo mpana kuhakikisha jamii inapata huduma Bora zaidi. Lakini wanaamini kuwa MAZINGIRA YAKO NI AFYA YAKO.
MKOPO MKOPO wa ujenzi,
Nyumba hii inasifa zifuatazo.
Chumba kimoja kikubwa chenye washroom, sitting room kubwa,kitchen na public washroom.
Nyumba hii ni maalum kwa vijana wanaoanza maisha au kwa...
💧 KELVIN HK BUILDER'S 💧
🏗️ Wachimbaji Visima vya Kisasa — Wataalamu wa Kuaminika!
📍 Temeke, Dar es Salaam | 🌍 Tunahudumia Tanzania Nzima
🔥 OFA YA MSIMU: PUNGUZO LA DHAMANA! 🔥
Tunakuzawadia...
Soko limekuwa na bidhaa nyingi sana siku hizi hadi imekuwa rahisi kuibiwa harafu unabaki unacheka peke yako na hasara yako
Naomba ushauri wa vitasa bora na imara vya kutumia kwenye milango ya...
showcase za kuhamishika..
boss wangu hizi showcase zinabadili kabisa muonekano wa seble yako..
seble yako inakuwa 🔥🔥
boss wangu ww jiamulie mambo tu😁 kwa kunipa oda nkutengenezee showcase yako...
Kuna vitu 7 ukivipuuzia sasa, baadaye utajilaumu sana:
1. Mahusiano na Familia
Ukiwa na pesa zote duniani lakini familia yako imevunjika, nyumba yako ni tupu. Weka muda kwa mke/mume, watoto...
Uchaguzi kati ya TRMC Bond Fund yenye riba ya 11% kwa muda wa miaka 5 na i-Trust Bond Fund yenye riba ya 13% kwa muda wa miaka 4 unategemea malengo yako ya uwekezaji, kiwango cha hatari...
Siku hizi watu/matajiri hawaezeki kabisa kwa vigae. Shida nini? "Pale penye nyumba ya vigae, nje kuna Prado na Musso" hapapo tena.
Kwa maoni yangu vigae vina class yake ambayo haichuji. Sasa...
MAANA YA SETBACK KWA LUGHA RAHISI
Setback ni nafasi ya wazi ambayo lazima uache bila kujenga kati ya nyumba yako na mpaka wa kiwanja chako.
Mfano rahisi kama hauna elimu ya ujenzi:
Fikiria...
Habari wanna jukwaa. Asanteni kwa muda wenu.
Nipo Goba, Dar es Salaam.
Nahitaji fundi Ujenzi mwenye uzoefu mzuri wa kujenga fence ndefu katika ardhi ya Dar es Salaam.
Pia nahitaji fundi mzuri wa...
Kuna kajumba ka kupangisha nimekajenga sehemu. Nyumba hii ni vyumba vitatu vya kulala,sebule,jiko na vyoo viwil kama kawaida.
Sasa wakati wa kuezeka kama kawaida nilivyozoea najua ni kazi ya siku...
Baadhi ya wananchi wamevamia eneo la bonde la Buyuni Kata ya Buyuni wilayani Ilala- Dar es Salaam na kupima viwanja kinyume na utaratibu.
Eneo hilo lipo ndani ya Mradi wa Viwanja 20,000 Buyuni...
TENGERU HOUSE
Habari zenu.
Nikiwa mdau wa ubunifu na usanifu majengo, nimeona niwashirikishe kwa ufupi namna mimi na baadhi ya wasanifu majengo tunavyofikia utekelezaji wa majengo na bidhaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.