Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Kwa hili ntapata kuzungumzia katika nafasi yangu ya fundi ujenzi (UASHI).... Aisee mafundi wengi miyeyusho sana twende kwenye komenti...
0 Reactions
4 Replies
193 Views
Ni wataalam wa kuaminika. Wenye weledi na KAZI zao, ambao wamejipambanua Kwa wigo mpana kuhakikisha jamii inapata huduma Bora zaidi. Lakini wanaamini kuwa MAZINGIRA YAKO NI AFYA YAKO. Tupigie Kwa...
0 Reactions
0 Replies
66 Views
Ni wataalam wa kuaminika. Wenye weledi na KAZI zao, ambao wamejipambanua Kwa wigo mpana kuhakikisha jamii inapata huduma Bora zaidi. Lakini wanaamini kuwa MAZINGIRA YAKO NI AFYA YAKO.
0 Reactions
0 Replies
54 Views
Wataalam Mahili, wenye uzoefu wa KAZI na KAZI zao za viwango, tupigie Tutakufikia.
0 Reactions
0 Replies
149 Views
Hello, Habari zenu wapendwa. Ninaomba uzoefu wa gharama ya ujenzi wa nyumba yenye sebule, chumba na choo cha public…ni standard tu ya kawaida.
7 Reactions
39 Replies
10K Views
MKOPO MKOPO wa ujenzi, Nyumba hii inasifa zifuatazo. Chumba kimoja kikubwa chenye washroom, sitting room kubwa,kitchen na public washroom. Nyumba hii ni maalum kwa vijana wanaoanza maisha au kwa...
16 Reactions
102 Replies
5K Views
Hivi kati ya kujenga nyumba au kununua kipi ni gharama kubwa?
7 Reactions
27 Replies
995 Views
💧 KELVIN HK BUILDER'S 💧 🏗️ Wachimbaji Visima vya Kisasa — Wataalamu wa Kuaminika! 📍 Temeke, Dar es Salaam | 🌍 Tunahudumia Tanzania Nzima 🔥 OFA YA MSIMU: PUNGUZO LA DHAMANA! 🔥 Tunakuzawadia...
0 Reactions
1 Replies
178 Views
Wakuu. Hivi kwa milioni 26 za Kitanzania unaweza kujenga nyumba ya vyumba viwili, sitting room, jiko na choo na ikaisha full kuhamia?
7 Reactions
55 Replies
7K Views
Soko limekuwa na bidhaa nyingi sana siku hizi hadi imekuwa rahisi kuibiwa harafu unabaki unacheka peke yako na hasara yako Naomba ushauri wa vitasa bora na imara vya kutumia kwenye milango ya...
1 Reactions
23 Replies
933 Views
showcase za kuhamishika.. boss wangu hizi showcase zinabadili kabisa muonekano wa seble yako.. seble yako inakuwa 🔥🔥 boss wangu ww jiamulie mambo tu😁 kwa kunipa oda nkutengenezee showcase yako...
0 Reactions
14 Replies
338 Views
Ramani hii ina vyumba vitatu vya kulala Living room Kitchen Store Dining Common toilet Nitafute whatsapp 0678418272
3 Reactions
7 Replies
476 Views
Kuna vitu 7 ukivipuuzia sasa, baadaye utajilaumu sana: 1. Mahusiano na Familia Ukiwa na pesa zote duniani lakini familia yako imevunjika, nyumba yako ni tupu. Weka muda kwa mke/mume, watoto...
20 Reactions
30 Replies
804 Views
Uchaguzi kati ya TRMC Bond Fund yenye riba ya 11% kwa muda wa miaka 5 na i-Trust Bond Fund yenye riba ya 13% kwa muda wa miaka 4 unategemea malengo yako ya uwekezaji, kiwango cha hatari...
0 Reactions
6 Replies
176 Views
Siku hizi watu/matajiri hawaezeki kabisa kwa vigae. Shida nini? "Pale penye nyumba ya vigae, nje kuna Prado na Musso" hapapo tena. Kwa maoni yangu vigae vina class yake ambayo haichuji. Sasa...
1 Reactions
6 Replies
381 Views
MAANA YA SETBACK KWA LUGHA RAHISI Setback ni nafasi ya wazi ambayo lazima uache bila kujenga kati ya nyumba yako na mpaka wa kiwanja chako. Mfano rahisi kama hauna elimu ya ujenzi: Fikiria...
12 Reactions
25 Replies
818 Views
Habari wanna jukwaa. Asanteni kwa muda wenu. Nipo Goba, Dar es Salaam. Nahitaji fundi Ujenzi mwenye uzoefu mzuri wa kujenga fence ndefu katika ardhi ya Dar es Salaam. Pia nahitaji fundi mzuri wa...
2 Reactions
4 Replies
227 Views
Kuna kajumba ka kupangisha nimekajenga sehemu. Nyumba hii ni vyumba vitatu vya kulala,sebule,jiko na vyoo viwil kama kawaida. Sasa wakati wa kuezeka kama kawaida nilivyozoea najua ni kazi ya siku...
23 Reactions
54 Replies
1K Views
Baadhi ya wananchi wamevamia eneo la bonde la Buyuni Kata ya Buyuni wilayani Ilala- Dar es Salaam na kupima viwanja kinyume na utaratibu. Eneo hilo lipo ndani ya Mradi wa Viwanja 20,000 Buyuni...
0 Reactions
1 Replies
266 Views
TENGERU HOUSE Habari zenu. Nikiwa mdau wa ubunifu na usanifu majengo, nimeona niwashirikishe kwa ufupi namna mimi na baadhi ya wasanifu majengo tunavyofikia utekelezaji wa majengo na bidhaa...
26 Reactions
100 Replies
10K Views
Back
Top Bottom