Gharama ya kujenga fremu za biashara

Gharama ya kujenga fremu za biashara

BONNIE GOLD

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2021
Posts
485
Reaction score
960
Habari zenu wakuu

Naomba msaada wa kupata roughly mchanganuo wa kujenga fremu tatu za biashara, ukubwa wa 2.5m x 2.5, Kuanzia msingi mpaka juu.

Mfano wa fremu ni hizi chini hapa. Eno lipo Dar

Asante sana

dalalimakongo_allan-20241018-0007.jpg
dalalimakongo_allan-20241018-0004.jpg
dalalimakongo_allan-20241018-0001.jpg
 
Chukua Eneo linalojengwa kisha zidisha mara 350K Kwa SQM kama utatuma Force Account au 500K kwa SQM Kama Unatumia Mkandarasi.Chaguo ni Lako.
Kwa Mfano huo Chumba cha 2.5m*2.5m Itakuwa
2.5*2.5*350,000/- Kwa Kutumia Local Fund (Unanunua materials mwenyewe,fundi anakuja Kujenga na analipwa)
Au
2.5*2.5*500,000/- Hapa unampa Mkandarasi Pesa akimaliza analipwa Jengo.
Ila Kwa Far hizo picha ulizoweka Sijui Usalama wa Mali za wateja.Kwa sasa Tunatumia sliding shutters.
 
Wadau habari zenu
Ivi wakuu ni biashara gani nzuri kwa eneo la dar naweza kufanya kwa mtaji 12m.
 
Back
Top Bottom