Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Kwanini nyumba za kisasa uwa haziwekwi geti (grill) nazungumzia kwenye mlango wa kuingia sebuleni na mlango wa nyuma fensi inakuwepo na geti moja au mbili Lakini kwenye mlango ya kuingia kwenye...
1 Reactions
19 Replies
381 Views
Habari ya sahivi, Natafuta fundi wa kufitisha milango ya mbao,milango tayari ninayo ,iko miwili. Site iko kigamboni. Naombeni namba ya mtaalamu wa kazi. Sio dalali.
1 Reactions
1 Replies
41 Views
Kwema wakuu? Ninaishi kwenye nyumba ya chini ya zamani kidogo. Sababu ya muda wa nyumba hii basi bati zake zimeanza kuvuja sababu ya kutu na hata plasta imechoka baadhi ya sehemu. Sasa niliwaza...
6 Reactions
72 Replies
2K Views
Wakuu habari, ninaishi kwenye upangaji kwa sasa hivyo naendelea kupambana na adha za baba mwenye nyumba lakini kwa bahati nzuri nimeweza kununua kiwanja na sasa najipanga na ujenzi lakini wakati...
9 Reactions
46 Replies
1K Views
Wakuu Nauliza tu maana juzi nilikuwa napita maeneo fulani ya Goba Tegeta A aisee kuna mitaa imepangika na kuna utulivu wa hali yaa juu sana Yaani mtaa imepigwa pasi vizuri bila nyumba kukabana...
3 Reactions
24 Replies
666 Views
  • Redirect
Kwetu ni Kazi na ubunifu. Tunajali mazingira yako, maana mazingira yako ni Afya yako. Hata CAPET TUNABANDIKA KAMA UNATAKA KUPUNGUZA JOTO LA PAVING NYUMBANI KWAKO.
0 Reactions
Replies
Views
MACDEGAMO Company Limited ni kampuni inayobobea katika matengenezo ya majengo, usafi wa mazingira, mapambo ya nyumba, landscaping na house molding. Tunatoa huduma bora, za haraka na zenye viwango...
0 Reactions
2 Replies
68 Views
Tunatoa huduma Bora zaidi ya kudesign eneo lako na kukupandia bustani nzuri ya kisasa kwenye MAZINGIRA yako Tena Kwa gharama nafuu mnoo. Nitafute Kwa Namba hii. 0714693107 napatikana jijini Dar...
1 Reactions
6 Replies
160 Views
Tunajali, Tunaboresha, Tunapendezesha, Tunayafanya kuwa Afya kwako MAZINGIRA YAKO.
1 Reactions
2 Replies
106 Views
MACDEGAMO Company Limited ni kampuni inayobobea katika matengenezo ya majengo, usafi wa mazingira, mapambo ya nyumba, landscaping na house molding. Tunatoa huduma bora, za haraka na zenye viwango...
0 Reactions
0 Replies
22 Views
Msanii wa muziki kutoka Tanzania anaye ghani mashairi yake kwa lugha ya kiingereza pia ni fundi ujenzi wa majengo na mbunifu wa kutengeneza vifaa mbalimbali vya ujenzi, hujishughulisha na shughuli...
1 Reactions
5 Replies
115 Views
PLN 0001 2BR Ramani ya Vyumba Viwili Living room (Sebule) 1 Master bedroom with a Dressing room (W.I.C) 1 Single bedroom Kitchen (Jiko) Public toilet (Choo cha jumuiya) Ramani hii ina privacy...
65 Reactions
1K Replies
136K Views
Before sijaenda kuilipia niambieni mapungufu yake ? Ili yarekebishwe
1 Reactions
13 Replies
491 Views
MACDEGAMO Company Limited is a professional company that provides building maintenance services, environmental sanitation, home decoration, planting and landscaping, as well as house molding. We...
0 Reactions
8 Replies
232 Views
Habari zenu wakuu Naomba msaada wa kupata roughly mchanganuo wa kujenga fremu tatu za biashara, ukubwa wa 2.5m x 2.5, Kuanzia msingi mpaka juu. Mfano wa fremu ni hizi chini hapa. Eno lipo Dar...
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni wapi ntapata mosaic tiles kwa ajili ya kuweka chooni. Nimeenda maduka mengi hawana
0 Reactions
0 Replies
59 Views
VISION (Dira) "Kuwa kampuni inayoongoza Tanzania katika huduma za matengenezo ya majengo, usafi, na utunzaji wa mazingira kwa kutoa huduma zenye ubora wa hali ya juu, ubunifu, na uaminifu unaozidi...
0 Reactions
0 Replies
35 Views
Ushauri wa kujenga nyumba eneo lenye asili ya maji / maji mengi chini ya ardhi Kujenga kwenye eneo la maji, mito, mabwawa, au sehemu yenye maji mengi chini kunahitaji tahadhari zaidi. Hii ndio...
2 Reactions
2 Replies
214 Views
🏠 UNA MILIONI 1 KWA MWEZI? UNAWEZA KUJENGA NYUMBA YA NDOTO YAKO NDANI YA MIAKA 2! Mtu mwenye kipato cha TSh 1,000,000 kwa mwezi, hana akiba benki wala kipato cha ziada — anawezaje kujenga nyumba...
0 Reactions
3 Replies
236 Views
Mimi nimeoa miaka 6 iliyopita tuna mtoto mmoja na tunaishi nyumba ya kupanga lakini mke wangu anawasifu Sana wanaume waliojenga nyumba zao. Wanajukwaa, mliwezaje kujenga kwa biashara ndogo ndogo...
17 Reactions
54 Replies
1K Views
Back
Top Bottom