Mwaka jana, mwezi wa 4 nikiwa katika harakati za kueneza kampeni ya kataa ndoa hapa mtaani, alitokea bishoo mmoja na kusema, "bro wewe unajifanya kataa ndoa kumbe jogoo lenyewe haliwiki...
Salaam waungwana,
Mimi ni mwanamke mwenye mtoto mmoja kiu yangu kubwa ni kupata kijumba changu kidogo tustirike na mwanangu, naombeni mnitie moyo je kwa shilingi laki mbili kwa mwezi naweza...
Habari marafiki.
Mkononi nina kama 20M hivi, kuna kiwanja kama 25×20 nimekipata Morogoro Road, eneo linaitwa Madafu, kwa 3M.
Mkononi nitabakiwa na 17M.
Je, wakuu, naweza kweli kujenga nyumba...
UNA MILIONI 17, UNATAKA KUJENGA NYUMBA YA VYUMBA 3 — UTATOBOA?
Jibu ni NDIO, lakini lazima ujenge kwa mpango! 🔨
Milioni 17 siyo bajeti ya kujenga nyumba kubwa ya vyumba 3 yenye finishing za...
MACDEGAMO Company Limited ni kampuni inayobobea katika matengenezo ya majengo, usafi wa mazingira, mapambo ya nyumba, landscaping na house molding. Tunatoa huduma bora, za haraka na zenye viwango...
Fundi kuniambia kama unataka kujenga
nyumba yenye vyumba vinne au zaidi ni bora ujenge ghorofa.
Kujenga nyumba ni jambo kubwa. Unapofikia hatua ya kuamua idadi ya vyumba vya kulala, swali...
Kuhusu Sisi
MACDEGAMO Company Limited ni kampuni ya kitaalamu inayotoa huduma za matengenezo ya majengo, usafi wa mazingira, mapambo ya nyumba, upandaji na utunzaji wa bustani (garden &...
ELIMU YA UJENZI
🏠 UMUHIMU WA KUWA NA RAMANI KABLA YA KUANZA UJENZI
Watu wengi hufikiri ramani ni karatasi ya kawaida, lakini ukweli ni kwamba ndiyo msingi wa ujenzi wenye mafanikio.
✅ Hukusaidia...
Ninauliza vyanzo mbali mbali kuchakata
Nataka nikistaafu nipumzike vema 2035
Nimependa muonekano wake !
Je inaweza cost vipi leta mchanganuo
Britanicca
Mwaka 2022 nilisafiri kikazi mkoani Lindi, ambapo tulitembelea wilaya na vijiji mbalimbali. Tulipofika Wilaya ya Ruangwa niligundua kuwa bei ya ardhi ni nafuu sana. Kwa mujibu wa taarifa...
Kwema wakuu?
Kuna kitu nimewaza hapa. Mfano mtu anajenga akanunua mirunda au Marine Boards. Akimaliza kujenga ni wazi hivi vifaa havitotumika tena. Hua vinaendaga wapi baadae?
Kuna watu hua...
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza Mtendaji Mkuu Wakala wa Barabara (TANROADS) kumsimamia Mkandarasi kampuni ya Jiangxi Geo Engineering kukamilisha kwa wakati ujenzi kwa kiwango cha...
Amenunua hiki kiwanja kina sq merter 510 KIBAHA ila analalamika kwasababu ya umbo la kiwanja na bei aliyouziwa....yaan anaona kiwanja kimekaa umbo la pembe 3 hivyo hapafai au hapatoshi kujenga...
Amani iwe kwenu wanaukumbi.
Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa mambo mengi anayotujalia katika maisha yetu ya kila siku. Niende kwenye mada moja kwa moja, mwenye ijuzi wa mambo ya ujenzi...
MACDEGAMO Company Limited is a professional company that provides building maintenance services, environmental sanitation, home decoration, planting and landscaping, as well as house molding. We...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.