Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Inasemekana kiutaalamu haifai kuunganisha vifaa vya umeme vinavozalisha heat (high watts devices) kama pasi, heater, induction cooker, jiko la umeme, pressure cooker, electric kettle, friji n.k...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Ukiingia kwenye huu mfumo wa Tausi kupitia tausi.tamisemi.go.tz una vitu vingi sana ndani japo vingine naona havifanyi kazi. Nimefurahishwa sana na uuzaji wa viwanja ambapo unanunua kiwanja...
26 Reactions
211 Replies
25K Views
Naomba kuuliza wanaJF, Hivi unaweza kununua viwanja kwenye mfumo wa Tausi na kikawa na migogoro?
1 Reactions
7 Replies
979 Views
Gharama za ujenzi wa nyumba zinaweza kuongezeka kutokana na mambo kadhaa, kama vile aina ya udongo, muundo wa nyumba, na upatikanaji wa vifaa vya ujenzi. Pia, mipangilio ya kiwanja na miundombinu...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu, Hili suala la kulipa kodi za nyumba mnalionaje maana nyumba zimekuwa ghali sana kiasi kwamba ukipiga hesabu hapo unakuta unaweza kujenga nyumba yako kali sana ukaishi zako bila...
4 Reactions
12 Replies
656 Views
Ndugu wana Jf mimi ni kijana hizi nyumba za kupqnga zimenichosha, kutwa kelele za kugombezwa na mama mwenye nyumba mbele ya wanangu wawili ni fedheha. Nimejipigapiga nimeuza maeneo ya urithi ili...
6 Reactions
9 Replies
726 Views
Mnaomiliki na kujenga nyumba kwaajili ya kuishi na familia ama kupangisha kwa biashara, nyumba au vyumba self contained (vyenye vyoo ndani). Kwanini vyoo vyake havikupaswa kuwa na ukubwa usawa wa...
9 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari wakuu hatimaje nimedundukkza million mbili, naomba nijue gharama ya kibali cha ujenzi na process zake
8 Reactions
84 Replies
15K Views
8 Reactions
686 Replies
9K Views
Dear Thinker's I hope this message finds you well. I’m reaching out to present a compelling investment opportunity in the booming short-term rental market. We are launching two exciting real...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu, moja kati ya watayarishaji bora wa muziki wa bongo wa bongo fleva nchini, Master J, adai ana viwanja zaidi ya mia moja huko kigamboni. Master J anadai kutokana na hadhi ya viwanja...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari wakuu wote nawasalimu Kumekua na changamoto kwenye swala upatikanaji wa hati miliki kutoka wizarani, Kwa utaratibu uliopo ni hivi Mtu anapotaka kumilikishwa ardhi inabidi awe na 1)...
2 Reactions
0 Replies
283 Views
Huu si ubunifu wala usanifu wa kubahatisha wala kukurupuka.. Kila mkono uliogusa mojawapo wa hizi kazi akili yake ilikuwa imetulia na roho ni nyeupe... Huwezi kufanya hizi kazi kwa ufanisi huu...
11 Reactions
813 Replies
10K Views
Unaweza kuiga uhandisi huu
45 Reactions
822 Replies
21K Views
TAMKO LA WAZIRI WA NCHI NA KATIBU MKUU OFISI YA RAIS -TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA Walengwa wa Mwongozo huu ni Mamlaka za Serikali za Mitaa, Taasisi mbalimbali za Serikali...
1 Reactions
28 Replies
9K Views
Ningependa kujifunza kuhusu watu wanaoishi milimani katika jiji la Mwanza. Nini hupelekea watu masikini kwenda kujenga na kuishi juu ya hii milima ukizingatia Mwanza bado ina maeneo makubwa...
10 Reactions
68 Replies
4K Views
Fundi Maiko anakuhakikishia kabisa utapata kitu na box kama picha inavyoonyesha. Kwakua likizo yako ni ya wiki tatu, wiki ya kwanza ulimtafuta fundi, wiki ya pili mlishughulika na kibali cha...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Mambo vipi maboss, natumai mko poa. Naomba kufahamu kuhusu ubora wa mabati ya Sunda gauge 30. Kwa wale waliopaua wakitumia bati hizi, je, zimekuwa na matatizo kama kupauka rangi au kuvuja baada...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Wasalaam wakuu. Naomba wataalam wa kuezeka nyumba wanijuze kuna umuhimu gani kutumia bati gauge 28 badala ya gauge 30? Je, nikitumia gauge 30 kuna tofauti yoyote itakayokuwepo kimuonekano...
2 Reactions
29 Replies
46K Views
Back
Top Bottom