Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Modern Luxury Mansion Design | 6-Bedroom Masterpiece on 1000 SQM Plot Step into a world of elegance and thoughtful design with this stunning 6-bedroom mansion layout, perfectly crafted to fit...
1 Reactions
62 Replies
3K Views
Habari wakuu Hii ramani naweza kutumia bati ngapi na tofali ngapi? Kwa ujumla naweza kutumia tsh ngapi maana Nina million 3 hapa kibindoni
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa, Hivi ni mimi pekee au? Unamtafuta architect kwa lengo la kukuchorea ramani lakini hawajibu meseji, hawapokei simu na hata mkiongea hawezi kukwambia mipango inayoeleweka. Sasa...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Kwa waliojipata na wanaojitafuta na wenye kutaka kuboresha
2 Reactions
178 Replies
3K Views
MWONGOZO WA UJENZI NA UENDESHAJI WA VITUO VYA MAFUTA KWA GHARAMA NAFUU: Usanifu na Ujenzi wa Kituo, Usafirishaji wa Mafuta, Jinsi ya Kuongeza Mauzo na Faida Katika kitabu hiki kuna sura 15...
3 Reactions
11 Replies
4K Views
Mpo salama wadau wa Dodoma? Nimeshusha mzigo wa mbao (12Ft) pale karibu na uwanja wa Jamhuri. Bei zangu ni rafiki na mbao ni nzuri/bora sana; 2x2 - 2,500 2x3 - 3,700 2x4 - 4,700 2x6 - 7,000 1x4 -...
3 Reactions
8 Replies
878 Views
Habari za muda Huu wadau, naomba kufahamu ili kupata hati ya kiwanja/ nyumba ni Hatua zipi zinatakiwa kufuatwa na inahtajika taarifa zipi, Gharama kiasi gani na inachukua muda gani kupata hati...
0 Reactions
2 Replies
525 Views
BIHARAMULO REAL ESTATE / INVESTMENT Biharamulo ndio Eneo lenye mvua za kutosha zaidi katika mkoa wa kagera ,ardhi yenye rutuba, miundombinu imara, idadi kubwa ya watu kwa sensa ya kitaifa 2022...
1 Reactions
6 Replies
500 Views
Habari wakuu naomba kuuliza Kuna tofauti kati ya qfl na magodoro Dodoma Au hayo qfl ndio magodoro Dodoma Nahitaji kununua 5x6 my budget 300,000tzs Pia Ushauri wa godoro zuri kwa mwenye...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Huku kuna mijumba ya hela nyingi sana. Hawa wamiliki ni Wabongo wenzetu? Hizi hela wanapata wapi? Kunaa gari niliwahi kuliona nyuma limeandikwa “Popote Ulaya tatizo Pesa” Visit Mbweni
36 Reactions
151 Replies
11K Views
Zijue aina za tiles zinazozalishwa na goodwill Habari za muda huu wakuu leo nimekuja kwenu kwa kuwaelezea kwa uchache kuhusu tiles za Goodwill Kwanza kabisa goodwill ceramic ( T) company limited...
9 Reactions
50 Replies
14K Views
Mimi nadhani Kwa Sasa hatuna kitu kinaitwa Watu wasojulikana. UTEKAJI na Mauaji yanayoendelea Nchini ,unsratibiwa na Genge la watu wachache lililo Ndani ya Jeshi la Polisi na likiongozwa na...
3 Reactions
6 Replies
445 Views
GT Nimewaza kwanini yameachwa hivi nini hatma yake. Je hii pesa ndo imezikwa namna hii? Nchii hii haina plan kabisa huwezi kuacha mradi kama huu burebure. .
1 Reactions
1 Replies
240 Views
Habari wakuu, nimevutiwa na design ya gypsum board ya kuficha curtain roads. Fundi wangu anasema anaweza kutengeneza. Lakini najiuliza vishikio ya curtain roads vitagongwa vipi?...fundi naye hana...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu, nimepata huu uwanja wenye ukubwa 840M² (Urefu 40×Upana 21). Hitaji langu nipate nyumba yenye sifa hizi. * Nyumba ya kisasa *Vyumba jumla 4, Master room 2 na kawaida 2 Sebule, Jiko, Stoo...
2 Reactions
14 Replies
885 Views
💧🏗️ C stallion Africa kamili dhidi ya maji, unyevu na matumizi ya kemikali katika ujenzi Wadau wote wa sekta ya ujenzi – Karibuni! Wahandisi, mafundi, wakandarasi, estate managers, wamiliki...
0 Reactions
0 Replies
295 Views
Tuanze na hii hiki ni Chumba kimoja chenye urefu na upana wa futi 14,Kwa 14, chumba kina choo ndani, chumba pia kina jiko ndani jiko la saizi ya futi 4 Kwa 5, apo zimetumika tofari 780, sehem ni...
5 Reactions
13 Replies
947 Views
Ukubwa wa viwanja Kiwanja cha kwanza 20*23- vyumba vya kupangisha, mchanganyiko, single na chumba na sebule Kiwanja cha pili Urefu 31m Upana 17.5m Nyumba moja ya kuishi yenye ghorofa moja...
2 Reactions
3 Replies
592 Views
Habari za jioni wakuu. Kati ya mbao , MDF na marine board ni ipi material imara kwenye kutengeneza kabati? Nimeenda kwa mafundi nataka wqnitengeneze kabati ila kila mmoja ana material tofauti. Je...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
AIRBNB HOTEL DESIGN ,7UNITS EACH HAVE ROOM, KITCHEN,SPECIOUS BATHROOM AND PRIVATE BALCONY FIT ON PLOT OF 20X25M PLOT CALL US FOR DESIGN AND BUILD SERVICES +255624004650
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Back
Top Bottom