Sina pa kwenda
Senior Member
- Nov 18, 2010
- 113
- 15
Habari zenu wanajamvini, kwanza kabisa nimezunguka kutafuta viwanja kila sehemu bei juu yaani kila kitu siku hizi kimepanda, msadaa wa kwanza nataka kununua kiwanja nielekezeni ni mitaa ya wapi nitapata kiwanja ambacho bei yake iko pouwa kwa hali ya mtanzania kama tujuanavyo halafu pili nikitaka kujenga nyumba ya kawaida yaani, vyumba vitatu vya kulala, sitting rum, dinning, jiko na choo inaweza ikacost howmuch?