Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Wanajamvini... nahitaji kupata building material za finishing kama mabomba na vifaa vya umeme. Mafundi wote wamenipa list ya vifaa.. naomba mwenye contacts za hardware wanaouza vitu bei nzuri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dr Ashatu Kijaji amesema Serikali haiwezi kuondoa kodi ya VAT kwenye vifaa vya ujenzi kwa sababu ni vigumu kujua nani anajenga kibiashara na nani anajenga makazi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kutokana na uchumi wa wananchi kubana, biashara ya vifaa vya ujenzi wa nyumba imepungua huku vile vya ukandarasi wa miradi mikubwa ikiongezeka zaidi ya mara dufu. Hayo yamebainishwa na meneja...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani ninahitaji mkopo usiokuwa na ubabaishaji Kwa ajili ya ukarabati wa nyumba yangu,ni mfanyakaz wa sekta za kitalii Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ili uwe na nyumba nzuri unatakiwa kuwa na ramani iliyodesginiwa vizuri na ya tofauti na kipekee na inabidi isimamiwe vizuri wakati wa ujenzi kwa ushauri wa maswala ya ujenzi na ramani za nyumba...
0 Reactions
27 Replies
27K Views
Habari wakuu naombeni msaada ninataka kufungua duka la vifaa vya ujenzi(HARDWARE) ila tatizio ni kwamba mimi siyo mzoefu wa hii biashara naombeni list ya vitu muhimu vinavyotakiwa viwepo na sehemu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Maabara iwe na uwezo wa kupima mchanyiko wa Udongo wenye sifa zifuatazo kama inavyoonekana kwenye attachment. Udongo huu ni kwaajili ya kutengenezea Tofali za kuchoma.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Serikali imetoa miezi mitatu kwa shirika la nyumba la taifa NHC kuwa limekamalisha miradi yote ya ujenzi wa nyumba zinazojengwa kwa ajili ya kuuzwa kwa wananchi kwa gharama nafuu hatua ambayo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kutoka kushoto ni Ibrahim Samuel- Meneja Uhusiano- Mikopo ya Nyumba, Wasia Mushi- Naibu Mkurugenzi Benki ya Afrika Tanzania (BOA), na Muganyizi Bisheko- Meneja Masoko Utafiti na Maendeleo...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Ama kweli hali ni tete, leo katika harambee ya kuchangia ujenzi wa nyumba yetu ya ibada hali imekuwa tete. tumeanza na Kuku Jogoo mkubwa tukitegemea ushindani uwe mkubwa kama tulivyozoea...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Nyumba vyumba 3 master kimoja, sebule,dining hall,kitchen,inaweza kuchukua tofali za block ngapi?je fundi anaweza kujenga kwa shilingi ngapi,maeneo nayotaka kuijenga ni kijijini!wenye uwelewa...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Aslaaam Aleykum waungwana. Mimi nina mpango wa kununua huku ughaibuni vifaa vya ujenzi kama bati, nondo sementi. Je kodi za ke na ushuru wa forodha unakuwaje?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naenda kwenye mada moja kwa moja!Kufuatia tetemeko la ardhi lilitokea kanda ya ziwa na kuleta madhara makubwa ikiwemo kubomoka kwa nyuma na baadhi kupoteza maisha nimebaini yafuatayo 1.Ujenzi wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Inashangaza sana kuona bei ya Cementi na bati za kuezeka bei yake ni juu wanyonge Tanzania wanaishi nyumba mbovu sana.. Tunaomba Rais asikie kilio cha wanyonge, review Cementi prices Mojawapo...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hbr ndugu zangu poleni na majukumu. Mimi ninaomba kwa wale wazoefu wa ujenzi , Nina mpango kujenga nyumba ndogo ya kuanzia maisha yaani nataka kuoa. Nyumba yenyew ya vyumba vitatu kimoja master...
0 Reactions
9 Replies
51K Views
Katika Ahadi za Rais Wetu mpendwa JPM, ahadi zipi zimetekelezwa.. Ahadi ambayo ilipewa msukumo mkubwa kuwa ingetekelezwa ni punguzo la Vifaa vya ujenzi Mikoa ya Morogoro, Dodoma na Shinyanga ni...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nakukumbusha mh rais, moja ya ahadi zako kubwa ulizotoa wakati wa kampeni ni kutupunguzia bei ya vifaa vya ujenzi ili sisi masikini tunaoishi kama mashetani tuweze kujitengenezea vibanda vyetu...
3 Reactions
42 Replies
5K Views
Wakati wa kampeni rais magufuli alisema kwamba yeye hataondoa Nyumba za nyasi kwa wakati mmoja bali atapunguza bei ya vifaa vya ujenzi kama simenti na bati Katika bajeti ya waziri wa fedha...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau habari zenu. Naomba kuuliza kwa mwenye kujua ama kama amepata fununu toka juu. Je, kuna dalili zozote za gharama za vifaa vya ujenzi kwa ujumla wake, kushuka kwenye bajeti ijayo? kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanajamvi, Nina kiwanja changu kule buyuni sasa nilikuwa nafikriia kujeanga nyumba ya matofali ya kuchoma. Kuna mwenye wazo wapi maeneo ya karibu naweza kuyapata matofali hayo (sio Morogoro) na...
0 Reactions
20 Replies
14K Views
Back
Top Bottom