wiseman734
Senior Member
- Apr 29, 2018
- 137
- 210
Serikali itusaidie sisi wananchi wa kipato cha chini tunapoelekea tunashindwa hata kujenga, bei za vifaa vya ujenzi inapaa kila uchao, yaani leo hii bei ya mfuko wa cement ni elfu 17 hapa kibaha mjini, nondo mm 12 zinauzwa sh 21000/=
Je ni hawa wenye maduka wamejipangia bei!? Mh raisi tunaomba utupie macho huku maana sisi wananchi wako tunashindwa kumudu
Je ni hawa wenye maduka wamejipangia bei!? Mh raisi tunaomba utupie macho huku maana sisi wananchi wako tunashindwa kumudu