Gharama za ujenzi wa nyumba ya kisasa vyumba 3 Mwanza

moro

Member
Dec 8, 2013
31
8
Nipo mwanza sio mwenyeji sana ila nimefanikiwa kupata kiwanja sehemu.

Napenda kujua gharama za ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu...!! Hadi inaisha.

Mwenye ujuzi tafadhali ntafurahi tukishare pamoja... Asante.
 
Nipo mwanza sio mwenyeji sana ila nimefanikiwa kupata kiwanja sehemu,, napenda kujua gharama za ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu...!! Hadi inaisha.. mwenye ujuzi tafadhali ntafurahi tukishare pamoja... Asnte.
Andaa 30m
 
Andaa 30m
Mil 30. ndogo mno mkuu. Wala haifiki popote. Mleta mada kasema ya kisasa. Labda aseme sq mita ngapi anataka nyumba yake. Mie nina nyumba ya vyumba 3 vya kulala Sq mita 306 nimebakisha kuweka Gypsum nimeishatumis 56mil na hapo ni Dar ambako vifaa vya ujenzi ni nafuu ukilinganisha na mwanza
 
Mil 30. ndogo mno mkuu. Wala haifiki popote. Mleta mada kasema ya kisasa. Labda aseme sq mita ngapi anataka nyumba yake. Mie nina nyumba ya vyumba 3 vya kulala Sq mita 306 nimebakisha kuweka Gypsum nimeishatumis 56mil na hapo ni Dar ambako vifaa vya ujenzi ni nafuu ukilinganisha na mwanza
Usingesema 30m ni ndogo mno mpaka usikie ni sqm ngapi. sqm 306 nyumba yako ni kubwa.
 
Nipo mwanza sio mwenyeji sana ila nimefanikiwa kupata kiwanja sehemu,, napenda kujua gharama za ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu...!! Hadi inaisha.. mwenye ujuzi tafadhali ntafurahi tukishare pamoja... Asnte.
Vyumba vitatu too general....be specific. Wewe ndio unajenga sema unategemea kujenga sqm ngapi. Si unaona mwingine hapo anasema vyumba vitatu yake sqm 306.
 
Vyumba vitatu too general....be specific. Wewe ndio unajenga sema unategemea kujenga sqm ngapi. Si unaona mwingine hapo anasema vyumba vitatu yake sqm 306.
Mtu anapoomba ushauri maana yake hana hata raman anachotaka ni nkujua ajipange vipi? msaada kwa anayejua anaweza kumshauri vizuri. Asante.
 
Mtu anapoomba ushauri maana yake hana hata raman anachotaka ni nkujua ajipange vipi? msaada kwa anayejua anaweza kumshauri vizuri. Asante.
Kuna mmoja kakwambia 30m, mwingine kasema 56m hata haijaisha, mimi nitakwambia andaa 80m. Unajua kwanini? Kwasababu kila mtu anataja nyumba ya vyumba vitatu lakini size tofauti na kajenga mji tofauti.
 
Kuna mmoja kakwambia 30m, mwingine kasema 56m hata haijaisha, mimi nitakwambia andaa 80m. Unajua kwanini? Kwasababu kila mtu anataja nyumba ya vyumba vitatu lakini size tofauti na kajenga mji tofauti.
Ooh ok,,
 
Mil 30. ndogo mno mkuu. Wala haifiki popote. Mleta mada kasema ya kisasa. Labda aseme sq mita ngapi anataka nyumba yake. Mie nina nyumba ya vyumba 3 vya kulala Sq mita 306 nimebakisha kuweka Gypsum nimeishatumis 56mil na hapo ni Dar ambako vifaa vya ujenzi ni nafuu ukilinganisha na mwanza
306 sq.m ni jumba kubwa kwa nyumba ya vyumba vitatu. Hapo sijui mgawanyiko wa vyumba upoje, au kuna corridors nyingi. Na ndio maana umetumia mil.56 kwa sababu ukubwa wa nyumba yako ni sawa na mwingine ajenge ya vyumba vinne-vitano.
 
Mleta mada jaribu kuangalia yafuatayo.

»Kwanza angalia eneo lako, elevation ya kiwanja, aina ya udongo. Hivi vitakusaidia kujua aina ya foundation unyohitaji kujenga. Kumbuka foundation ni kitu muhimu sana na inakula pesa nyingi hasa kama unahitaji nyumba imara.

»Tafuta ramani, hii itakupa rough estimation ya vitu kama mchanga, saruji, tofali, nondo, etc.

»Leta mafundi waangalie eneo na kukupa makadirio ya kila kitu, ni vizuri unaenda hatua kwa hatua. Foundation na costs zake kuanzia ufundi (hapa mtafanya bargain na fundi)

»Zunguka maduka mbalimbali ya vifaa vya ujenzi ujionee gharama zake na ufanye makadirio na majumuisho.

»Kama utajenga nyumba ya kawaida, say 150sq.m lakini ya kisasa, inaweza kurange 30-40million.
 
Mleta mada jaribu kuangalia yafuatayo.

»Kwanza angalia eneo lako, elevation ya kiwanja, aina ya udongo. Hivi vitakusaidia kujua aina ya foundation unyohitaji kujenga. Kumbuka foundation ni kitu muhimu sana na inakula pesa nyingi hasa kama unahitaji nyumba imara.

»Tafuta ramani, hii itakupa rough estimation ya vitu kama mchanga, saruji, tofali, nondo, etc.

»Leta mafundi waangalie eneo na kukupa makadirio ya kila kitu, ni vizuri unaenda hatua kwa hatua. Foundation na costs zake kuanzia ufundi (hapa mtafanya bargain na fundi)

»Zunguka maduka mbalimbali ya vifaa vya ujenzi ujionee gharama zake na ufanye makadirio na majumuisho.

»Kama utajenga nyumba ya kawaida, say 150sq.m lakini ya kisasa, inaweza kurange 30-40million.
Thanx for good analysis nimeelewa pa kuanzia sasa..
 
Najaribu kuweka picha hapa ila inanisumbua,ya kwangu ina vyumba viwili tu na sebule na jiko na choo lakini mpaka hapa imeshagonga hyo 30.naishi humo ndani lakini hapo sijaweka viyoo na kuinakshi kwa nje na ni hapo hapo Mwanza,so nyumba unayoitaka kama usemavyo andaa 30-40.inawezekana kabisa
 
Najaribu kuweka picha hapa ila inanisumbua,ya kwangu ina vyumba viwili tu na sebule na jiko na choo lakini mpaka hapa imeshagonga hyo 30.naishi humo ndani lakini hapo sijaweka viyoo na kuinakshi kwa nje na ni hapo hapo Mwanza,so nyumba unayoitaka kama usemavyo andaa 30-40.inawezekana kabisa
ok na imeisha kabisA?
 
ok na imeisha kabisA?
Ndani peke yake na sijadecolate kwa nje kwa maana ya kupaka rangi na kuweka viyoo,pm namba yako ya whatsap nikutumie picha upate mwanga kidogo,isipokua nimeweka uzio wa matofali pia na gate
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom