Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Je wewe unavutiwa na mpangilio upi wa nyumba?
22 Reactions
49 Replies
14K Views
Habarini wadau, Nimetembelea mikoa ya KIGOMA, Rukwa, Katavi na kukuta wao wanapendelea tofali za kuchoma na zile za saruji! Mkoa wa Mbeya wao wanatumia hata tofali mbichi kujengea! Hivi tofali...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Ninaomba wenye utaalamu wa kukadiria vifaa/gharama za ujenzi anisaidie kupata idadi ya bati kwa hali yenye ukubwa wa 15.3 x 13.5. Paa nne
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Husika na mada tajwa.wataaram naomba raman ya bati simple isiwe na magabions gabions mwisho ndio yanavuja vuja naijua mgongo wa tembo ila kama kuna aina nyingine naomba. Sent using Jamii Forums...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Ijumaa Kareem! Niwasalimu katika mchakato wa katiba mpya! Katiba ya wananchi sio ya chama chakavu..!!! Mwenyezi Mungu ametufanyia wepesi! InshaAllah..![emoji1545]hatuna cha kumlipa..! Kuna...
12 Reactions
29 Replies
3K Views
Hii tabia inakera sana wakuu, mnatumia njia zipi kuzuia hawa wakurungwa wanaojisaidia kwenye majengo yenu ambayo hayajakamilika? Iliniuzunisha sana wakuu, nimeingia kwenye pagale langu nakuta...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Habar wakuu, Tafadhar naomba kufahamishwa kuwa ni maeneo gan mazur kwa Ujenz kwa mtu mwenye kipato cha kati na aina ya tofar zinazotumika katika ujenz na wakaz wa mji huo. Maeneo mazur kwa...
3 Reactions
17 Replies
5K Views
Kwa ramani hiyo wakuu, inaweza gharimu tsh ngapi mpaka naingia?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nilipata kuongea na mafundi juu ya paa la contemporary, waliniambia ili kupata paa imara ni lazima msingi uwe imara. Unaweka zege juu na unamalizia na lami kama ukipenda. Kuna wanaojenga...
10 Reactions
18 Replies
3K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, wapimaji wa viwanja walipita mahali fulani wakafanya upimaji kwa kuelekezwa na mtu mwingine kuhusu mipaka ya uwanja ilivyokaa, lakini walielekezwa kimakosa...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Habari Wana jamii forum, Nimeikuta sehem hii ramani nikaipenda nikaona si vibaya kushare mawazo nanyi kuhusu vitu vifuatavyo; 1. Idadi ya tofali kuanzia msingi mpaka boma 2. Idadi ya trip za...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Jaman nimechora kitu apo lakini sa kijua cost yake n chenga me sio mtaalam sana wa hiv vitu naomba msaada jamn kw raman hii. Sent using Jamii Forums mobile app
4 Reactions
41 Replies
5K Views
Habari wadau ni balbu za rangi gani ukiweka sebuleni panavutia ukiwasha usiku[emoji120]
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Kama ilinyo elezwa apo juu vinatafutwa viti vya asili ka. A hii picha inavyoonekana. Location viwe kanda ya ziwa bei iwekwe hapa mimi ni mgeni wa huu mtandao, staweza kuja inbox 👸😌🙏🙏
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Huu ni ugonjwa gani wa kuta za nyumba na unatibiwaje? Naomba msaada tafadhali!
2 Reactions
47 Replies
10K Views
Habari za asubuhi wakuu... nimepata mtu anauza kiwanja, viwege, Dar kuepusha majuto na kupoteza hela, naombeni uzoefu wenu kabla ya kujitosa...naomba kujua Barabara za mtaa huwa zinatakiwa kuwa na...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndugu wanamajilisi, hiyo "design" tajwa hapo Juu ndio Ujenzi wa Kisasa? Au ni kipi hasa kinapelekea Mafundi wengi kushauri Ujenzi wa namna hiyo?
4 Reactions
46 Replies
12K Views
Wakuu Habari za muda huu? Miaka kadhaa kidogo kuna mdau alitoa ushuhuda wa namna ambavyo minazi hutumika kupunguza gharama za mbao kwa ajili ya ujenzi. Kwa maana ya kwamba, kuna maeneo sikumbuki...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Mtu anakuja kwako umejenga L na choo anakulazimisha nyumba 3 akiziandika wewe unalipa Kodi ya nyumba tatu huu sio Utanzania hata ya miti mmmm! Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
4 Replies
833 Views
Back
Top Bottom