ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,562
- 44,758
Wakuu wenye uzoefu na maisha shikamooni.
Mimi nafanyabiashara ambayo inaniingizia 7000 kwa siku kama faida
Sasa nina kiwanja heka moja mother aliniachia kimekaa muda mrefu hakina Kazi kilikuwa kikitumika Kama shamba nako hakitoi mazao mengi kwasababu eneo Lina kichuguu
Sasa Mimi nataka kujenga angalau master room moja ambayo Ina choo ndani na kasebule, maana nafikiria huku kupanga kila mwezi nampa mwenye nyumba 30000 nimeona Bora nijenge nishaurini nitumie mbinu gani kufanikisha gharama yake maana nawaza niwe nanunua mifuko ya cement mitano kila week naiweka au nifanyeje?
Na je nahitaji ramani kwenye kanyumba Kama hako? Kuhusu msingi gharama zake zipoje?
Cha kufurahisha kuna mafundi flani ni walevi sana Bei zao nimesikia ni nzuri nawaza niwatumie wao au niwatumie tu Mafundi wazuri, lakini nataka finishing iwe nzuri decorations ziwepo yaani sebuleni niweke wallpaper na tv cabinet japo nitaweka solar maana nitakuwa nalala tu asubuhi naenda kwenye kibarua changu.
Nishaurini nianzie wapi kuhusu mchanga hakuna shida huku singida mchanga upo wa kutosha.
Nijiandae vipi niweke hela mpaka ifike milioni kadhaa au nijenge tu kwa plan hio mdogomdogo?
Mimi nafanyabiashara ambayo inaniingizia 7000 kwa siku kama faida
Sasa nina kiwanja heka moja mother aliniachia kimekaa muda mrefu hakina Kazi kilikuwa kikitumika Kama shamba nako hakitoi mazao mengi kwasababu eneo Lina kichuguu
Sasa Mimi nataka kujenga angalau master room moja ambayo Ina choo ndani na kasebule, maana nafikiria huku kupanga kila mwezi nampa mwenye nyumba 30000 nimeona Bora nijenge nishaurini nitumie mbinu gani kufanikisha gharama yake maana nawaza niwe nanunua mifuko ya cement mitano kila week naiweka au nifanyeje?
Na je nahitaji ramani kwenye kanyumba Kama hako? Kuhusu msingi gharama zake zipoje?
Cha kufurahisha kuna mafundi flani ni walevi sana Bei zao nimesikia ni nzuri nawaza niwatumie wao au niwatumie tu Mafundi wazuri, lakini nataka finishing iwe nzuri decorations ziwepo yaani sebuleni niweke wallpaper na tv cabinet japo nitaweka solar maana nitakuwa nalala tu asubuhi naenda kwenye kibarua changu.
Nishaurini nianzie wapi kuhusu mchanga hakuna shida huku singida mchanga upo wa kutosha.
Nijiandae vipi niweke hela mpaka ifike milioni kadhaa au nijenge tu kwa plan hio mdogomdogo?