Naomba ushauri wenu: Nataka nijenge chumba kimoja

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,562
44,758
Wakuu wenye uzoefu na maisha shikamooni.

Mimi nafanyabiashara ambayo inaniingizia 7000 kwa siku kama faida

Sasa nina kiwanja heka moja mother aliniachia kimekaa muda mrefu hakina Kazi kilikuwa kikitumika Kama shamba nako hakitoi mazao mengi kwasababu eneo Lina kichuguu

Sasa Mimi nataka kujenga angalau master room moja ambayo Ina choo ndani na kasebule, maana nafikiria huku kupanga kila mwezi nampa mwenye nyumba 30000 nimeona Bora nijenge nishaurini nitumie mbinu gani kufanikisha gharama yake maana nawaza niwe nanunua mifuko ya cement mitano kila week naiweka au nifanyeje?

Na je nahitaji ramani kwenye kanyumba Kama hako? Kuhusu msingi gharama zake zipoje?

Cha kufurahisha kuna mafundi flani ni walevi sana Bei zao nimesikia ni nzuri nawaza niwatumie wao au niwatumie tu Mafundi wazuri, lakini nataka finishing iwe nzuri decorations ziwepo yaani sebuleni niweke wallpaper na tv cabinet japo nitaweka solar maana nitakuwa nalala tu asubuhi naenda kwenye kibarua changu.

Nishaurini nianzie wapi kuhusu mchanga hakuna shida huku singida mchanga upo wa kutosha.

Nijiandae vipi niweke hela mpaka ifike milioni kadhaa au nijenge tu kwa plan hio mdogomdogo?
 
Hongera kwa kufikiria hilo, utakuwa umefanya jambo muhimu mno. Ila hao mafundi walevi angalia nyumba yako isije kuwa ya kilevi. huko singida kuna mawe ya kujengea msingi au huwa mnatumia tofali?
 
Kila jambo ni taratibu mkuu cha kufanya ni kuwa na nidhamu nzuri ya matumizi ya pesa yako.Hata mbuyu ulianza kama mchicha.
 
Mkuu upo singida sehem gani. Mimi nimejenga hivo hivo master bedroom na sebule yake hapa singida
 
Bora nijenge nishaurini nitumie mbinu ngani kufanikisha gharama yake maana nawaza niwe nanunua mifuko ya cement mitano kila week naiweka au nifanyeje?Na je nahitaji ramani kwenye kanyumba Kama hako?kuhusu msingi gharama zake zipoje?
Mimi nashauri ungeanza na mabati kwa sababu kuibiwa sio rahisi sana kulinganisha na sementi na pia kutokea uharibifu vilevile sio rahisi sana ukilinganisha na sementi ambayo ikipitiwa na unyevu inaweza kuleta mushkeli
 
Cement usinunue Sasa inaweza ganda ukaingia hasara

Anza nunua bati na mbao

Kisha nunua tofali hasa zile za mwendokasi utaokoa Sana utapunguza gharama za ujenzi kiasi chake .

Nunua mchanga kabisa.

Nunua tiles na madirisha na mlango kabisa

Kisha ndio ununue simenti.

Mtafute fundi ikiwezekana uwe una mpiga tafu kuipandisha mdogo mdogo kuokoa gharama za vibarua .

Fasta tu utahamia kwako
 
Siku hizi sivuti Sana kwa Mwezi labda navuta mbili tu
Endelea kula mmea braza ili upanuke kwa fikra zaidi na zaidi. Tena ukianza mishe za ujenzi na huku mmea unaonesha love kwa mmea, utaona kila kitu kinaenda level tena practically! Kuna mzazi hapo juu kashauri ununue tofali; ukijenga bond ya uhakika na mmea, hizo tofali utapiga mwenyewe hata kama ikibidi usikuwa baada ya kumaliza mishe zako za mchana kutwa!

Jani OYEEEEEEEEEEEEEEEE!!!
 
Wa tz tuko vizuri mtu kaomba ushauri wa gharama lets say tofal kadhaa bati kadhaa kuna nondo ngapi mbao ngap na za linta ngap....
Ila duh tz nchi ya aman sana mzee kma vip lima bang maana una experienc zaid
 
Wakuu wenye uzoefu na maisha shikamooni.

Mimi nafanyabiashara ambayo inaniingizia 7000 kwa siku kama faida...
Inategemea unataka uzuri wa aina gani, kuna daraja la chini, kati na juu. Zote zina bei tofauti kuanzia startup and finishing. Material yanatofautiana katika kufanyia finishing.

Kwa Daraja la chini unaweza fanya kazi hata kwa 3.5 hadi 4 milion mwanzo mwisho. Kwa daraja la kati minimum amount ni 5 million hadi almost 10. Na kwa ya juu tuanze na 8 hadi 15 approximately.

Hizi madaraja zinakuwa na muonekano tofauti ingawa swala linabakia kuwa ni chumba na sebule, ila chumba na sebule ya daraja ya chini ni tofauti na ile ya kati na ya juu.

For free consultation..... You know how to find me.
 
Wakuu wenye uzoefu na maisha shikamooni.

Mimi nafanyabiashara ambayo inaniingizia 7000 kwa siku kama faida

Sasa nina kiwanja heka moja mother aliniachia kimekaa muda mrefu hakina Kazi kilikuwa kikitumika Kama shamba nako hakitoi mazao mengi kwasababu eneo Lina kichuguu

Sasa Mimi nataka kujenga angalau master room moja ambayo Ina choo ndani na kasebule, maana nafikiria huku kupanga kila mwezi nampa mwenye nyumba 30000 nimeona Bora nijenge nishaurini nitumie mbinu gani kufanikisha gharama yake maana nawaza niwe nanunua mifuko ya cement mitano kila week naiweka au nifanyeje?

Na je nahitaji ramani kwenye kanyumba Kama hako? Kuhusu msingi gharama zake zipoje?

Cha kufurahisha kuna mafundi flani ni walevi sana Bei zao nimesikia ni nzuri nawaza niwatumie wao au niwatumie tu Mafundi wazuri, lakini nataka finishing iwe nzuri decorations ziwepo yaani sebuleni niweke wallpaper na tv cabinet japo nitaweka solar maana nitakuwa nalala tu asubuhi naenda kwenye kibarua changu.

Nishaurini nianzie wapi kuhusu mchanga hakuna shida huku singida mchanga upo wa kutosha.

Nijiandae vipi niweke hela mpaka ifike milioni kadhaa au nijenge tu kwa plan hio mdogomdogo?
Mkuu Kwanza nakupongeza kwa hatua kubwa kimalengo, japo kilichobakia ni uthubutu kuelekea ukamilifu.

Wengi hudhani nyumba hujengwa mara moja.
Ni watu wachache wanao jenga mfururizo hadi kuingia.

Swala la ujenzi ni hatua , ukisha kuwa na uwanja ,basi, kujenga inabakia kuwa inshu ndogo au kubwa kutegemeana na mtazamo wa mhusika.

SISI KAMA UVIMO yani jamii ya mafundi, tunakushauri uanzie na kile ulicho nacho ili kutengeneza uthubutu.

Unaweza kugawanya jengo lako kwa awam kadhaa,
Mfano,
Msingi
Boma
Kupaua
Milango na madirisha
Lipu
Fininishing zingine na n.k

Hii inaweza kukupa nguvu (concentration) ya kushughulikia hatua baada ya hatua.

Rejea picha ya mwisho, ni nyumba iliyojengwa 2013 ilikuwa ni msingi na nusu boma , kwenye boma inayoonyesha uweusi wa tofali na juu yake ni tofali mpya za mwaka 2020 na bati mwaka huu.

KUHUSU MAFUNDI WALEVI.
Kila mtu daima hupenda kupunguza matumizi wakati wa ujenzi.
Lakini, moja ya eneo mhimu la kupunguza au kuongeza Gharama ya unenzi ni uchaguzi wa mafundi.

Hebu tufatane.
Gharama za fundi mara nyingi huendana na uwezo wake wa kutekeleza mambo.
Mfano wengine hawajui ratio/uwiano wa kuchanganya sement, rangi, gypsum poda, au kujua kina cha msingi kwa eneo flani na vitu kama ivo.
Ukienda haraka utaona ni bei powa kumbe gharama yake iko hapa
1-Kutumia materia zaidi ya kawaida ktk eneo moja
2-Kuibuka na viwango duni na kuhitaji marekebisho ama service ndani ya wakati mfupi.
3-Unaachiwa nyumba inavuja baada ya kupaua.
4-Kubomoka au kupasuka kutokana na viwango duni vya ujenzi msingi au boma au lenta.

UVIMO daima tuna sema swala la ujenzi ni sawa na kufanya upasuaji wa binadam. Ukikosea unaua mtu.

Kwa uhangaikaji wako, baada ya miaka sita tu, nyumba itakuwa hoi, hapo presha itakuhusu na ghafla tutasema ni CORONA.

UVIMO tunakushauri, wakati ukitamani kukimbia kodi, kimbia pia viwango duni vya nyumba yako tarajiwa ktk eneo la uchaguzi wa mafundi.
Mhimu uwe na funding ambaye atakushauri wakati wote wa kazi.

UVIMO Tunajenga kuanzia msingi hadi kukabidhi ufunguo.
Tukifika kwako, tunaweka kambi, Tunakuwa kazini muda wote kukamilisha malengo yako.

SHUGHULI ZETU.
Tunajenga
Tunapaua
Tunatengeneza magril
Alminium
Lipu
Kuskim
Rangi
Tiles
Milango
Mifumo ya maji taka na Safi
Umeme
Na kila aina ya urembo.

Tunafanya kazi mikoa yote bara na visiwani hata nje ya mipaka ya Tanzania
Bei zetu ni rafiki kwa kila mtu.

Tuko Morogoro na Dar es salaam.

Wasiliana nasi kwa

0753927572 -wasap
0753961896
0629361896


View attachment 1709090View attachment 1709091View attachment 1709092View attachment 1709093View attachment 1709094View attachment 1709095View attachment 1709096View attachment 1709097
IMG_20200807_182218_0.jpg
 
Mkuu Kwanza nakupongeza kwa hatua kubwa kimalengo, japo kilichobakia ni uthubutu kuelekea ukamilifu.

Wengi hudhani nyumba hujengwa mara moja.
Ni watu wachache wanao jenga mfururizo hadi kuingia.

Swala la ujenzi ni hatua , ukisha kuwa na uwanja ,basi, kujenga inabakia kuwa inshu ndogo au kubwa kutegemeana na mtazamo wa mhusika.

SISI KAMA UVIMO yani jamii ya mafundi, tunakushauri uanzie na kile ulicho nacho ili kutengeneza uthubutu.

Unaweza kugawanya jengo lako kwa awam kadhaa,
Mfano,
Msingi
Boma
Kupaua
Milango na madirisha
Lipu
Fininishing zingine na n.k

Hii inaweza kukupa nguvu (concentration) ya kushughulikia hatua baada ya hatua.

Rejea picha ya mwisho, ni nyumba iliyojengwa 2013 ilikuwa ni msingi na nusu boma , kwenye boma inayoonyesha uweusi wa tofali na juu yake ni tofali mpya za mwaka 2020 na bati mwaka huu.

KUHUSU MAFUNDI WALEVI.
Kila mtu daima hupenda kupunguza matumizi wakati wa ujenzi.
Lakini, moja ya eneo mhimu la kupunguza au kuongeza Gharama ya unenzi ni uchaguzi wa mafundi.

Hebu tufatane.
Gharama za fundi mara nyingi huendana na uwezo wake wa kutekeleza mambo.
Mfano wengine hawajui ratio/uwiano wa kuchanganya sement, rangi, gypsum poda, au kujua kina cha msingi kwa eneo flani na vitu kama ivo.
Ukienda haraka utaona ni bei powa kumbe gharama yake iko hapa
1-Kutumia materia zaidi ya kawaida ktk eneo moja
2-Kuibuka na viwango duni na kuhitaji marekebisho ama service ndani ya wakati mfupi.
3-Unaachiwa nyumba inavuja baada ya kupaua.
4-Kubomoka au kupasuka kutokana na viwango duni vya ujenzi msingi au boma au lenta.

UVIMO daima tuna sema swala la ujenzi ni sawa na kufanya upasuaji wa binadam. Ukikosea unaua mtu.

Kwa uhangaikaji wako, baada ya miaka sita tu, nyumba itakuwa hoi, hapo presha itakuhusu na ghafla tutasema ni CORONA.

UVIMO tunakushauri, wakati ukitamani kukimbia kodi, kimbia pia viwango duni vya nyumba yako tarajiwa ktk eneo la uchaguzi wa mafundi.
Mhimu uwe na funding ambaye atakushauri wakati wote wa kazi.

UVIMO Tunajenga kuanzia msingi hadi kukabidhi ufunguo.
Tukifika kwako, tunaweka kambi, Tunakuwa kazini muda wote kukamilisha malengo yako.

SHUGHULI ZETU.
Tunajenga
Tunapaua
Tunatengeneza magril
Alminium
Lipu
Kuskim
Rangi
Tiles
Milango
Mifumo ya maji taka na Safi
Umeme
Na kila aina ya urembo.

Tunafanya kazi mikoa yote bara na visiwani hata nje ya mipaka ya Tanzania
Bei zetu ni rafiki kwa kila mtu.

Tuko Morogoro na Dar es salaam.

Wasiliana nasi kwa

0753927572 -wasap
0753961896
0629361896


View attachment 1709090View attachment 1709091View attachment 1709092View attachment 1709093View attachment 1709094View attachment 1709095View attachment 1709096View attachment 1709097View attachment 1709098
Safi sana
 
Mkuu Kwanza nakupongeza kwa hatua kubwa kimalengo, japo kilichobakia ni uthubutu kuelekea ukamilifu.

Wengi hudhani nyumba hujengwa mara moja.
Ni watu wachache wanao jenga mfururizo hadi kuingia.

Swala la ujenzi ni hatua , ukisha kuwa na uwanja ,basi, kujenga inabakia kuwa inshu ndogo au kubwa kutegemeana na mtazamo wa mhusika.

SISI KAMA UVIMO yani jamii ya mafundi, tunakushauri uanzie na kile ulicho nacho ili kutengeneza uthubutu.

Unaweza kugawanya jengo lako kwa awam kadhaa,
Mfano,
Msingi
Boma
Kupaua
Milango na madirisha
Lipu
Fininishing zingine na n.k

Hii inaweza kukupa nguvu (concentration) ya kushughulikia hatua baada ya hatua.

Rejea picha ya mwisho, ni nyumba iliyojengwa 2013 ilikuwa ni msingi na nusu boma , kwenye boma inayoonyesha uweusi wa tofali na juu yake ni tofali mpya za mwaka 2020 na bati mwaka huu.

KUHUSU MAFUNDI WALEVI.
Kila mtu daima hupenda kupunguza matumizi wakati wa ujenzi.
Lakini, moja ya eneo mhimu la kupunguza au kuongeza Gharama ya unenzi ni uchaguzi wa mafundi.

Hebu tufatane.
Gharama za fundi mara nyingi huendana na uwezo wake wa kutekeleza mambo.
Mfano wengine hawajui ratio/uwiano wa kuchanganya sement, rangi, gypsum poda, au kujua kina cha msingi kwa eneo flani na vitu kama ivo.
Ukienda haraka utaona ni bei powa kumbe gharama yake iko hapa
1-Kutumia materia zaidi ya kawaida ktk eneo moja
2-Kuibuka na viwango duni na kuhitaji marekebisho ama service ndani ya wakati mfupi.
3-Unaachiwa nyumba inavuja baada ya kupaua.
4-Kubomoka au kupasuka kutokana na viwango duni vya ujenzi msingi au boma au lenta.

UVIMO daima tuna sema swala la ujenzi ni sawa na kufanya upasuaji wa binadam. Ukikosea unaua mtu.

Kwa uhangaikaji wako, baada ya miaka sita tu, nyumba itakuwa hoi, hapo presha itakuhusu na ghafla tutasema ni CORONA.

UVIMO tunakushauri, wakati ukitamani kukimbia kodi, kimbia pia viwango duni vya nyumba yako tarajiwa ktk eneo la uchaguzi wa mafundi.
Mhimu uwe na funding ambaye atakushauri wakati wote wa kazi.

UVIMO Tunajenga kuanzia msingi hadi kukabidhi ufunguo.
Tukifika kwako, tunaweka kambi, Tunakuwa kazini muda wote kukamilisha malengo yako.

SHUGHULI ZETU.
Tunajenga
Tunapaua
Tunatengeneza magril
Alminium
Lipu
Kuskim
Rangi
Tiles
Milango
Mifumo ya maji taka na Safi
Umeme
Na kila aina ya urembo.

Tunafanya kazi mikoa yote bara na visiwani hata nje ya mipaka ya Tanzania
Bei zetu ni rafiki kwa kila mtu.

Tuko Morogoro na Dar es salaam.

Wasiliana nasi kwa

0753927572 -wasap
0753961896
0629361896


View attachment 1709090View attachment 1709091View attachment 1709092View attachment 1709093View attachment 1709094View attachment 1709095View attachment 1709096View attachment 1709097View attachment 1709098
Nadhan hapa jamaa atapata info zote azitakazo.
 
Back
Top Bottom