Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Naombeni msaada wa kiushauri kutokana na bajeti yangu ni ndogo na nahitaji kuhamia kwangu haraka inavowezekana nahitaji angalau nifanye vitu viwili kati ya hivyo vitatu je nifanye nini na nini na...
1 Reactions
22 Replies
7K Views
Habari wakuu, Baada ya kuhangaika kwa muda mrefu sasa nimepata ufumbuzi wa kuweza kujua vipimo vya ramani yoyote ile ambayo haina vipimo kwa haraka (express) ni zoezi la dakika mbili tu bila...
4 Reactions
22 Replies
5K Views
Nimekuwa na Tatizo la kuona kila niki weka tiles, zinapishana. Mara nyingi na nunuaga tiles za makampuni ya hapa nyumbani Tz, kwa sababu ya Urahisi, lakini pia kuinua viwanda vya ndani. Ila mara...
2 Reactions
26 Replies
7K Views
Habari wana JF, Ninatumai habari njema. Nilikuwa ninafikiri kujenga nyumba lakini ukitaka kujenga nyumba ya kuishi lazima ufikiri hata surrounding yako (mazingira yanayokuzunguka) kwa mfano...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu poleni na majukumu Naomba kuhuliza kwa budget ya milioni 15 naweza kujenga nyumba kama hii?? ukitoa gharama ya kiwanja
5 Reactions
14 Replies
8K Views
Sababu kubwa ya magonjwa Kama UTI, SKIN COMPLICATIONS kutoisha katika maisha yetu ya kila siku NB: Kudhani chooni ni mahali pachafu/kinyaa na mpaka kufikia point kwenda na ndala au viatu ni...
5 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakuu Kama kichwa kilivotanabaisha hapo juu,Kuna mahali nina kaplot ka ukubwa wa Meter 11x15 nataka nianze kukafanyia kazi.je naweza fyatua kanyumba ka chumba tatu na eneo la parking likabaki?
6 Reactions
56 Replies
8K Views
Kutokana na ongezeko mabadiliko ya hali ya hewa, kuongezeka kwa shughuli za uchumi zinazoharibu mali asili. Uhaba wa maji duniani unatabiriwa huko siku za mbele. Wataalamu wamekuja na choo cha...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari za majukumu mabibi na mabwana! Katika harakati hizi za maisha watu hupitia mengi sana, Kuna kipindi pesa inakubali, Kuna kipindi unachapika mpaka unajuta kuzaliwa. Anyways twende kwenye...
9 Reactions
80 Replies
8K Views
Siamini kabisa haya majengo marefu yenye kuta za vioo Unakuta jengo halina hata tofali, najiuliza hivi ule ukuta wa kioo unaweza ukaegamia kwa amani? Ikitokea tetemeko vipi? Sababu kubwa za...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Kumekuwa na changamoto ya namna ya kutafsiri majengo tunayojenga,wapo wanayoyaita mabanda na wengine wanaita nyumba au mijengo. Sasa ni sifa zipi zinazotumika,kutofautisha ili ni banda au hii ni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nina boma la nyumba ya ukubwa 64m², nmetumia tofali 1850 za block: Ina +Master bedroom (12x12)ft +Single room 1 (10x10)ft +Dining (10x12)ft + Sebule (19x12)ft +Public toilet 1 (4x6)ft Naomba...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari za leo wakuu. Hivi wakuu Chumba kama kinachoonekana kwenye picha kinahitaji shilingi ngapi kukamilika.kiwanja kipo. Karibuni kwa michango yenu Sent from my SM-A013G using JamiiForums...
6 Reactions
28 Replies
5K Views
Hi, napenda kujua katika ujenzi, ni lini nipige siling board, ni baada ya rafu au baada ya kung'arisha chiping.
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Nataka kuhamia kwangu mwaka huu nimepiga nyumba plasta Bado kuweka vifaa vya umeme awamu ya pili, Bado draft na vingine vingi.. je nikitafuta hela ya madirisha yanaweza kuwekwa bila kufanya...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Wakuu habarini za muda huu, nimehamia nyumba ambayo kuta zake zimepakwa rangi ya mafuta, bahati mbaya kuta ni nyeusi sana, either ni kutokana aliyekuwepo alikuwa anapikia ndani. Nimesafisha lakini...
2 Reactions
7 Replies
10K Views
Wakuu msaada naomba kujua ile sakafu ya chenga chenga inaitwaje? Na je inaweza ikakaa kwenye chuma? nina kibanda changu cha biashara nataka nikiwekee hiyo sakafu ya chenga chenga.
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Ndugu zangu habari za majukumu Naombeni mchanganuo wa Ujenzi wa uwanja wa mpira 1.Pitch iwe ile standard yani 105*68 na iwe nyasi asilia 2.Ukuta wa mzunguko kwanza ambao baadae utaruhusu ujengaji...
2 Reactions
17 Replies
6K Views
Hi guys, Hello everyone, I'm Ellyskywilly. As I told you previously that I'll be designing different kinds of houses and I'll be posting each thing which'na be doing. So for that case, I'm...
2 Reactions
13 Replies
5K Views
Back
Top Bottom