Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Ninaomba mnieleweshe kuhusu ujenzi wa mashimo ya maji taka (Septic tanks) hapo Jijini Mbeya huwa mnayajengea ndani kwa kutumia nini Kati ya vifuatavyo: 1) Mawe 2) Tofali za kuchoma 3) Tofali za...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nyumba yangu Ina madirisha ya zamani Kama ilivyooneshwa hapa chini, nataka kuongezea aluminium bila kubadilisha Grils zilizopo. Kama Kuna fundi anaweza kazi hiyo tuwasiliane inbox.
2 Reactions
52 Replies
15K Views
Nahitaji kufahamu gharama inaweza kucost kiasi gani? Nataka nilifanye kama ofisi yangu
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wakuu, Wakati najipanga hapa nikaona niombe mchango wa mawazo na uzoefu wenu. Bila shaka wapo ambao mnafahamu gharama ya kumtumia mkandarasi kujenga, walau kwa kukisia tu. Nashukuru sana...
2 Reactions
32 Replies
8K Views
Habari zenu jf, wadau hivi ni upi umri sahihi kabisa wa mtu kuanza kumiliki mjengo (nyumba) naomben msaada wa hili swali maana wenda kidog akili yang ikatulia na kichwa kikapunguza kuuma
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Habari wakuu... Kwa sasa kuna kundi kubwa sana la watu wanaofanya ujenzi kwa watu binafsi kwa mkataba, ukitembelea instagram utaona ni jinsi gani walivo wengi. Changamoto kubwa iliyopo ni kujua...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimejipiga nimepata kaeneo kakujenga katikati ya makazi ya watu wengine! Kulingana na udogo wake nimetenga kuwa "kanyumba"kangu ka kuishi kachukue eneo la ukubwa wa futi 40 urefu kwa futi 25...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu habari za wakati huu. Nimelazimika kuingia humu kuomba ushauri kwa ajili ya kapata namna kumpa mke wangu amani ya moyo. Nina mshukuru Mungu tumejenga nyumba kubwa nzuri na kufanikiwa...
0 Reactions
38 Replies
11K Views
Wakuu habari za weeknd!! Kama kichwa cha habari.kinavyoeleza, naomba kudeclare interest kwamba my dream nyumba ya ghorofa moja. Na nimefikia kuchagua contemporary house maana nimesikia...
1 Reactions
20 Replies
16K Views
Naomba kujua bei ya Hivi vifaa kwa dar nasikia ni nafuu zaidi
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Ndugu zangu Wana JF Naombeni ushauri wenu. Mimi Niko ARUSHA et mtaa mzuri Kati ya Majengo na Mianzini wapi pazuri na Bei ya vyumba hikoje. Najua nimesomeka hapo juu. Naombe msaada.
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Hivi kwa mil. 5 naweza kujenga nyumba ndogo ya chumba 1, sebule, jiko na choo mpaka kiwango gani? NB: Kiwanja kipo Dodoma Kisasa Au niongeze mpaka ngapi wakuu?
3 Reactions
52 Replies
20K Views
Kwa uzoefu wangu mdogo, tofali zenye uwazi katikati (Hollow Cement Block) zinatumika kwa uchache sana. Pamoja na faida zake nyingi, najiuliza ni kwa nini?
4 Reactions
21 Replies
7K Views
Katika ardhi tambalale yenye mchanga, msingi upi ni bora kati ya ule wa mawe na wa tofali?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu salam, Naomba niweke wazi kuwa kwenye fani ya ujenzi mimi ni kibarua mzoefu kwa muda mrefu nimefanya kazi nyingi na mafundi wengi nimeona mengi. Kwenye hii mada nitatoa uzoefu wangu kuna...
19 Reactions
9 Replies
5K Views
Kuna hii taasisi inaitwa Equity for Tanzania (EFTA) inayodai inakopesha vifaa vya ujenzi imenipa utata. Dada yangu ni mjasiriliamali wa kutengeneza matofali, nyanda za juu kusini. Hivi karibuni...
0 Reactions
33 Replies
22K Views
Habari za Jumatatu wadau. Kichwa cha habari chahusika. Ningependa kununua nyumba DSM maeneo ya Kigamboni, naomba ufafanuzi wa mambo muhimu ya kuzingatia kabla na wakati wa kununua nyumba ya...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kueleweshwa hapa ipi tofauti ya futi na sqm pale mtu anapokupimia eneo(kiwanja). Mfano ukiambiwa eneo hili Lina ukubwa wa futi 60 kwa 60 ni sawa na sqm ngapi? Mimi nimeshazoea sqm 400...
1 Reactions
12 Replies
31K Views
Nimejitahidi kadri ya uwezo wangu naanda hii ramani ya nyumba ya vyumba viwili kwaajili ya watanzania wenye uchumi wa kawaida kama mimi. Unaweza kujionea hapa chini. Ila bado haijamalizika.
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Wakuu msaada zile sling board za plastic zinazowekwa kwenye fisher board kwa nje zinaitwaje?
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Back
Top Bottom