AMADOGO
Senior Member
- Jul 1, 2015
- 108
- 78
Samahanini wadau naomba kujua hivi kujenga gorofa bila kusimamisha nguzo za zege zile. Uimara wake ukoje?
Engineer anadai kwa aina ya udongo ukiwa na matofali imara yakajengwa kwa kulaza inatosha.
Ni kweli inaweza kuwa imara? Eneo ni tambarare.
Naombeni mawazo yenu
Engineer anadai kwa aina ya udongo ukiwa na matofali imara yakajengwa kwa kulaza inatosha.
Ni kweli inaweza kuwa imara? Eneo ni tambarare.
Naombeni mawazo yenu