Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Wanajf mwaka huu nilifanikiwa kupata kibanda changu cha kuishi, tatizo nilipiga bati mwezi wa 9 mwaka Jana. Leo mvua zinanyesha kwa wingi, ninavujiwa kwenye zile "angles"za miinuko ya mabati Kama...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu, nataraji kufanya finishing kwenye kibanda changu nipo hatua ya skimming na rangi sasa iv, nilikua naitaji kueleweshwa kuhusu hatua za hio stage na material bora kwa ajiri ya...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu... nimejenga fence nishapiga plasta bado rangi ... ambao mushajenga nipeni ushauri rangi ya kupaka ili ukuta uwe na muinekano mzuri na rangi isibambuke...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
Wakuu Naombeni wataalamu mnisaidie gharama za kuezeka paa hili, roof plan attached
1 Reactions
21 Replies
18K Views
Natumaini wote mko poa Wana Jf.. Nataka kuanza ujenzi ila eneo la kiwanja maji ni changamoto. Naombeni ushauri ninunue simtank au nijenge Kalo ili niweze kuhifadhi maji na ipi hautakuwa na gharama?
5 Reactions
39 Replies
8K Views
Naomba msaada jamani kwa wenye ufahamu,ni kina kipi kinatakiwa kuchimbwa kwa msingi kwa ardhi ya kichanga na iliyo eneo tambalale. KARIBUNI WADAU.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar zenu. Nimefanya leveling mwez January mwaka huu kwenye kiwanja kilichokuwa na mteremko. Kama haitoshi nimemwaga vifusi kadhaa vya udongo ili kusawazisha kiwanja kile kwan hata baada ya...
5 Reactions
37 Replies
6K Views
kama mada ilivyo, Ninaitaji fundi mzuri wa kuezeka nipo Dar Bunju kama yupo humu nicheck PM tuyajenge
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Mbao zenye dawa treated zisizoliwa na wadudu zinapatikana kwetu kwa bei za jumla na reja reja. Tunatoa ofa za Misumari ya Bure 10kg na Ofa ya Usafiri wa kukupelekea mzigo sait Bure! Tunapatikana...
1 Reactions
0 Replies
602 Views
Wakuu habari zenu. Naombeni msaada nina kisima ninachovuna maji ya mvua, naona kama kinavuja ndani kwa ndani kwani maji hayajai tena, nilijaribu nikatoa maji yote, nikasafisha na kusakafia tena...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Nina miaka 34, Mke na watoto 2,Mwaka Jana nilikua na shauku ya ujenzi kiwanja nilisha nunua kina tofali kama 4000,Kokoto mende 3, mchanga mende 3, Tank za maji lita 4000. Nikatafuta mtaalam...
10 Reactions
42 Replies
6K Views
Hivi kwenye ujenzi wa nyumba kuna shortcut yoyote ya kusave gharama? Kama zipo ambazo technically hazina athari lets share.
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Natafuta namna ya kurudisha bathtub ambayo imechakaa. Nahitaji kuirudia maana naona imepata kutu. Nliwaza hizi rangi za ku spray za kopo nyeupe.sijui kama zinafaa au kuna ambazo zinapatikana kwa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nikikumbuka 2015 kurudi nyuma kule nilikuwa nikinunua nondo 12mm kwa 20,000/- sasa nakuta ni 27,000/- Bando bati za kawaida zile 250,000/- sasa 380,000/-, misumari imepanda jero kwenye kila kilo...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Fundi wangu nilimuamin ila naona ameamua kunizidishia bei ya vifaa, na hakuzidisha elfu mbili au tatu, vipo alivyozidisha hadi asilimia nyingi. Mfano kifaa cha 15,000 ameandika 35,000 huu ni...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Nimeuna mlango huu je ni mzuri kuwepo mbele?
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wana JF! Uzi.... Mwaka 2017 nilikuwa na rafiki yangu akaniambia kuna mahali panauzwa Viwanja akashauri twende kuangalia, Mimi sikuwa na pesa kwa wakati ule ila nilienda, tulipofika kweli...
17 Reactions
69 Replies
9K Views
kwa wale wapenzi wa kungfu movies watakuwa wameona sana hizi nyumba. Hili neno Siheyuan maana yake nyumba iliyojengwa pande nne, ikiwa na courtyard katikati. Nyumba kubwa inakuwa ya baba mwenye...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mwenye miak 32 nimeitimu chuo ngaz ya stashahada ya manunuzi na ugavi (procurement) 2012 nimesotea ajira toka 2010 adi leo patupu mara usajiliwe na board wanataka pesa mara ufanye...
6 Reactions
25 Replies
5K Views
Wakuu, naomba mnisaidie jinsi ya kumaliza tatizo la mchwa kwenye nyumba, nitumie njia gani kutatuta tatizo hila. Wanatafuna kweli kweli, na kujua alipo kiini Chao ni ngumu, anaejua dawa ya...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Back
Top Bottom