Mbao Tanzania
Senior Member
- May 31, 2021
- 170
- 215
Tukiona vijana wanajinyima starehe, anasa, matumizi holela tunafurahi sana.
Leo ni siku ya vijana kufunguka: Ni changamoto gani ulikutana nayo au unakutana nayo wakati unajenga nyumba yako? Umekwama wapi?
Shea nasi uzoefu tujifunze kwa pamoja.
Leo ni siku ya vijana kufunguka: Ni changamoto gani ulikutana nayo au unakutana nayo wakati unajenga nyumba yako? Umekwama wapi?
Shea nasi uzoefu tujifunze kwa pamoja.