Watanzania wamehimizwa kuvumiliana, kudumisha umoja na kuijenga nchi kwa pamoja, wakitakiwa pia kupuuza uvumi mbalimbali unaoelezwa kwenye Mitandao ya Kijamii kwamba Askari Polisi na Maafisa wa...
Viongozi wa vyama vya siasa mkoani Tanga wamewataka wananchi kuendelea kudumisha utulivu na amani waliyoonyesha wakati wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29 mwaka huu.
Viongozi hao wamesema hayo...
Katika hali isiyo ya kawaida Mbunge wa Bumbwini, Unguja, Zanzibar Mhe. Mwinyi Jamal Ramadhan alipata taabu kuapa mbele ya wabunge wenzake, hali hii imetokea bungeni leo Novemba 12, 2025 bungeni...
Wakuu,
Hii nchi kuna changamoto kubwa sana kwenye priorities. Anyway wenyewe ndo wanajua zaidi.
----------------------------
Baada ya kuapishwa na Rais Samia leo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali...
Mbunge Mteule wa Viti Maalum Zanzibar Mwanaenzi Hassan Suluhu, leo Novemba 12, 2025 katika Bunge la 13 Mkutano wa kwanza kikao cha pili Jijini Dodoma, amekula kiapo kulitumia Jamuhuri ya Muungano...
Makamu Mwenyekiti Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) John Heche ametaka uchunguzi ufanyike na vyombo vya kimataifa kuhusu kilichotokea nchini tarehe 29 Oktoba 2025 siku ya...
Mwanaharakati huru Cyprian Musiba, ambaye pia alikuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Mwibara mkoani Mara kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, amesema kuwa malalamiko yote ambayo yamekuwa yakitolewa na...
“Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu”
Uchaguzi wa tarehe 29 Oktoba mwaka huu umeweka historia ya aibu.
Aidha CCM sasa imekiuka madhumuni ya uanzishwaji wake maana , chama kiko insensitive kwa...
Heko Firstpost and shame on our local media.
Tasnia ya uandishi wa habari imekufa Tanzania.
Hatuna waandishi wa habari wala vyombo vya habari sisi.
Habari hii watu tunaipata kupitia vyombo vya...
Nimesikia mashirika ya kimataifa yamegundua walioshtakiwa kwa uhaini kwa sababu za kudai mabadiliko kuna watoto pia.
Tulieema ni kesi za uongo wanachochea moto wakifikiri wanauzima na kutafuta...
Mbunge wa Kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akiapa Bungeni jijini Dodoma tarehe 12 Novemba, 2025.
Haiwezekani mtu unaiba kura alafu unakuja na maridhiano yani unakuwa kama panya anakutafuna alafu anakupuliza hatutakubali tunataka nchi yetu.
Wananchi sisi tumesha mkataa kabisa kabisa tunataka...
Jaji Jacobs Mwambegele sasa hivi lazima atatembea kichwa chini popote atakapokwenda.
Simply put, Uongo ni dhambi.
Kutengeneza majedwali ya uchaguzi ambayo hata yeye mwenyewe hayaamini, lakini...
Imagine chief comforter ambae ndio mfariji mkuu watu wake wanatekwa na kuuwawa yeye anakaa kimya hatoi hata neno la pole hata pole ya kinafiki Sasa hapa utasema anahujumiwa?
Watu wameuwawa...
Wabunge wasijidanganye kwenye chaguzi kama hizi wananchi hawataweza kukubali hata kidogo mchakato wa katiba kuendeshwa na bunge hili fake.
Ni bora tusipotezeane muda na vijana wetu sasa sio...
Mbunge Mteule wa Jimbo la Tarime Vijijini Mwita Waitara wa Chama cha Mapinduzi (CCM) rasmi le amekula kiapo leo Novemba 12, 2025 katika bunge la 13 Mkutao wa kwanza kikao cha pili kwenye viwanja...
Mwaka 2001 wazazibari wengi walipoteza maisha kwa kufyatuliwa risasi na hata kuwatia vilema kufuatia maandamano ya amani yaliyogeuzwa uwanja wa machinjio.
Kosa lao kubwa lilikuwa kuandamana...
Wakuu,
Baada ya M029, Mange Kimambi ameitisha tena maandamano mengine siku ya Uhuru yaani Disemba 9
Anasema nchi itakuwa na maandamano tu hii hadi haki ipatikane.
Nawaza tu: Kwa hiyo tutakatiwa...
Mmesikia kelele za watawala, baada ya kupoka madaraka kwa nguvu kupitia uchaguzi bandia, baada ya kuwaua watanzania wengi waliokuwa wakipinga uchaguzi haramu, baada ya kuteka, kuwaua na kuwapoteza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.