TAARIFA KWA UMMA
USHAURI WA HALI YA USALAMA NA USAFIRI KWA RAIA WA TANZANIA WANAOISHI AU KUSAFIRI MASHARIKI YA KΑΤΙ
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inafuatilia kwa karibu hali ya...
Mfanyabiashara Mohammed Dewji, na aliyewahi kuwa Mbunge wa Singida kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanzia 2005 hadi 2015 akizungumza Oktoba 27, 2015 kwenye kipindi cha Mkasi
Mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini Seleman Bungara 'Bwege' ameandika kwenye mitandao ya kijamii na kueleza kuwa masikitiko yake ya kutomuona Zitto Kabwe, Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT-Wazalendo...
hii ndio kamati kuu ya ccm-CC itakayochuja majina wa wagombea Urais 2015 na kubakiza watatu(3) watakaoenda NEC. VIONGOZI: 1. Wilson Mukama,2. John Chiligati, 3.Vuai Ali Vuai, 4.January Makamba...
MISINGI YA KUJENGA UTAJIRI
~Watu wengi huchanganya Mshahara mkubwa na Utajiri,Lakini utajiri wa kweli ni mfumo unaojitegemea.
Utajiri hauji kwa kufanya kazi pekee,unakuja kwa kumiliki kile...
Miaka kadhaa iliyopita,
Askofu Josephat Gwajima wa kanisa la ufufuo na uzima, alitoa wito kwa makanisi mbalimbali ikiwa ni paomoja na kanisa katoliki kwa ujumla, kutokumuheshimu kadinali Polycarp...
Mh Rais shikamoo
Mimi ni Mtanzania niliyemsaidia san Hayati Magufuli kufanya aliyo yafanya kupitia hapa hapa
Haya ebu sema Tanzania baada ya uchaguzi Ikoje sawa?
Watoto wetu walikuwa ndugu zetu...
Faustine Mafwele ni afisa wa ngazi ya juu ndani ya Jeshi la Polisi la Tanzania, Assistant Commissioner of Police (ACP) pia ni Zonal Crimes Officer (ZCO) wa Kanda Maalum ya Polisi ya Dar es Salaam...
Nimeamua kutukana maana Mimi nawajua hivi kweli
Mbowe alinenepa akiwa magereza ila Tundu Lissu anakonda kwa sababu Gani?
Mkuu wa Gerezani tusitafte kunyongwa MPE lishe Lissu nje kumejaa chuki...
Msimamizi wa Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Peramiho Exavery Luyagaza amemtangaza Dkt. Lazaro Kiliani Komba wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge wa jimbo la Peramiho kwa...
Tanzania ilijiondoa kupitia ibara 36(4) yq optional protocol to African court of human rights. Ikipinga raia na non governmental kwenda kuishitaki moja kwa moja kwenye hii mahakamama.
Hii ni kwa...
Tundu Antipasy Mughway Lisuu
1. Achana na upuuzi wa mlichokiita "kesi ya uhaini". Ni suala la uamuzi wa dakika moja, utajiokoa wewe mwenyewe na kuliokoa taifa hili na maafa yaliyo mbele yako
2...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uhamisho na kuwapangia vituo mabalozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Masharik, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ametembelea Miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Wizara yake na taasisi zilizo chini ya Wizara...
Kwa wanaojua kinachoendelea kuhusiana na kashfa ya ngono na uzinzi za Tramp hata Netanyahu, wanajua ni kwanini Marekani na Israel wanashambulia wenzao. Nadhani Trump ametumia hii kuepusha madhara...