Najaribu kufikiria, Waziri mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kuhamia Dodoma mwanzoni mwa mwezi septemba mwaka huu.
Wakati huo Rais atakuwa bado yuko Dar es salaam, mimi nadhani Rais na waziri mkuu...
Serikali imesema kuwa iliamua kununua ndege mbili za abiria aina ya Bombadier Q400 kutoka nchini Canada kutokana na uhitaji wa huduma ya usafiri wa anga kwa safari za ndani ya nchi na mazingira...
Habari wadau,
Naomba kujua huyu kijana ni nani hapo lumumba?? Kuna baadhi ya maandiko ambayo Hayana Muda mrefu kwenye hicho chama nimekuta yana saini ya huyu kijana na kwa ufupi haya maandiko...
Wana JF salaam,
Siku zote mimi nitabaki kuwa mshauri mzuri wa chama changu CCM na Serikali inayoongozwa na kada wetu Mhe. John Pombe Magufuli - Mwenyekiti wa CCM Taifa na rais wa taifa letu. Kwa...
Niweke wazi kwamba mimi nilikuwa na imani kubwa sana na kiongozi wangu ila ghafla nimepoteza imani naye mpaka sasa sijanufaika chochote biashara hakuna wateja, wanafunzi vyuoni hawajapewa pesa zao...
Nakumbuka maneno ya mzee Butiku kuwa tangu 1993 CCM ilikuwa na mtandao ambao wenyewe kazi yake ilikuwa ni kuitafuta ikulu kwa kila namna tangu hata baba wa taifa akiwa hai lakini CCM ilimeguka...
Ni wazi kuwa kama tunataka kuwa viongozi wazuri sharti tuwe watu wa kuangalia maono na kuona tatizo kama chakula mahali pa kujifunza zaidi) tuangalie tatizo katika mlengo wa kuangalia uwezekano na...
Kupevuka kwa demokrasia Tanzania na kauli za wanasiasa nduli kuhusu mtu mmoja huyu zinakaribisha majibu mengi kuliko maswali:
1. Fisadi ni sifa ya kudumu kwa mwanasiasa wa Tanzania mwenye sura...
Can confrontation and violence be avoided on Tanzania’s “Day of Defiance”?
Posted on August 30, 2016 by Ben Taylor
Tensions are rising ahead of this Thursday’s opposition protests against...
Vyama pinzani nawaonea huruma 2020 nahisi mtabaki 2 bungeni.kwa hali hiii jichunguzeni nani angeweza kufanya kazi kama ya Raisi wetu Magufuli kwa kasi.
Ujasiri bila kuogopa mafisadi wote kwishney...
Nimetafakari kwa muda mrefu kuhusiana na kamatakamata za wana wasiasa katika taifa letu,sababu kubwa inayotolewa ni uchochezi(sitaki kuamini wanachochea vurugu) maana wanatekeleza katiba ya nchi...
Tunasukumiziwa katika makoo yetu chama kimoja tu kuwa ndicho pekee chafaa kuungwa mkono katika kuiangusha CCM. Tunaambiwa vyama vingine viungane nacho kwa sababu kimeonesha uongozi na kuwa ndiyo...
Maalim Seif wewe pamoja na viongozi wengine wa ngazi ya juu ya chama akiwemo Kaimu Mwenyekiti ndugu Twaha Taslima, ninyi ni viongizi halali wa chama na ndiyo roho ya chama kamwe msikubali chama...
Wana JF
Pengine hili linahitaji mjadala kuhusu nini hasa watanzania tunahitaji kwa sasa
1. Kati ya mwaka 1990-1995 serikali ya awamu ya pili iliachilia mambo mengi yaende kama yatakavyo hadi raisi...
Tanzania inatarajiwa kusajili kiwango cha juu zaidi cha ukuaji wa uchumi wake mwaka huu katika kanda ya Afrika Mashariki na kati.
Hii ni kwa mujibu wa ripoti ya shirika la fedha la kimataifa -...
Wadau,
Katika mfumo wa uendeshaji wa serikali, serikali iliyo serious huunda au kuimarisha taasisi zake ambazo hutumika kama watchdogs ili kuitazama na kuikumbusha katika maeneo muhimu.
Taasisi...
Serikali imezipiga marufuku taasisi zote za umma zilizopo chini ya wizara ya mambo ya ndani kutokuagiz a viatu nje ya nchi, badala yake wanunue viatu kwenye kiwanda cha kutengeneza viatu cha...
Hakuna ambaye angedhania kwamba ipo siku Lowassa atasumbuliwa na polisi na kukamatwa. Naamini hata yeye hajawahi kufikiri hilo ila leo yanampata. Wanamghasi watakavyo as long as anafanya...
Lile genge lililojijenga ndani ya CCM kiasi cha kutikisa nchi kwa kujigeuza Mungu mtu, ufisadi kiasi cha kuipasua na kuwa na makundi mawali;
1. CCM mtandao, genge la wasaka Ikulu.
2. CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.