Nakumbuka maneno ya mzee Butiku kuwa tangu 1993 CCM ilikuwa na mtandao ambao wenyewe kazi yake ilikuwa ni kuitafuta ikulu kwa kila namna tangu hata baba wa taifa akiwa hai lakini CCM ilimeguka vipandevipande katika harakati za mtandao huo kufikia malengo yake lakini walipouchoka mwaka jana wakaufukuza CCM ikapumua na uozo wote ukaanza kupungua.
Ulipokimbila umeanza harakati zilezile. Ukiwa CCM na ulivyoimega CCM vipande sasa unataka kulimega taifa vipande ili kufikia malengo yake ya kwenda ikulu.
Ushauri wangu:
Wale wote wenye mamlaka wapambane kufa na kupona kuliponya taifa vinginevyo litapasuka,.
Mfano mzuri ni namna harakati za mtandao huo huo ulivyoipasua CCM na sasa msipokiwa macho taifa linapasuka.
Ulipokimbila umeanza harakati zilezile. Ukiwa CCM na ulivyoimega CCM vipande sasa unataka kulimega taifa vipande ili kufikia malengo yake ya kwenda ikulu.
Ushauri wangu:
Wale wote wenye mamlaka wapambane kufa na kupona kuliponya taifa vinginevyo litapasuka,.
Mfano mzuri ni namna harakati za mtandao huo huo ulivyoipasua CCM na sasa msipokiwa macho taifa linapasuka.