GT
Ukifuatilia contents za Joseph yona wa Chalinze akiwatuhumu watu mbalimbali bila ushahidi wowote na media zinarusha kama kawaida.
Je haya mashambulizi yanayorushwa na hizo media JAB...
Kama kweli tunataka kutokomeza Utekaji na mauaji Kwenye Nchi hii ni vema tukaanika kila kitu bila kufichaficha.
Mafwele ametangulizwa mbele lakini kikosi chake kina wakina nani wengine?
Je RPC...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Jumuiya za Ukanda wa Maziwa Makuu na Nchi...
"Jeshi la Polisi halina mamlaka ya kutoa tafsiri ya kimahakama au kujichukulia hatua zozote bila kupewa maelekezo na mahakama. Wanawake nchi nzima tumejiandaa tunampango wa kusafiri kwenda Musoma...
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari Tanzania ( Jounalist Accreditation Board) imempa muda wa masaa 24 Mwandishi wa habari Mwandamizi Paschal Mayala kuthibitisha kauli yake aliyoitoa kwenye...
HABARI PICHA:
Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Faustine Mafwele amewataka Polisi Kata kuendeleza ushirikiano...
Kwa muda mrefu, mwandishi wa Clouds Media, Farhan Kihamu alikuwa amejikita kwenye masuala ya michezo.
Sakata la Iran na huko Mashariki ya Kati lilipokuwa linanukia na hatimaye lilipoanza, ghafla...
Dalili kuu ya mtu mwehu au kichaa ni kuwa mwepesi kuamini.
Sisi wahubiri wa Injili tunalijua hili.
Ukiita wanaotaka kumpa Yesu maisha yao waje mbele Matahira walioko Karibu lazima waje.
Kesho...
Huu ndio ushauri wangu kwa Dkt. Nchimbi kama kweli anaguswa na uovu unaoendelea dhidi ya wapinzani.
Kwahiyo, kama hawezi au ameshauri na hasikilizwa na bado yuko nao, bora tu akae kimya tujue nae...
Mgogoro wa kijeshi kati ya Iran, Marekani, na Israel wa Machi 1, 2026, na athari zake kiuchumi kwa Tanzania na Afrika.
Mapema Jumamosi, Februari 28, 2026, Marekani na Israel zilianzisha shambulio...
Kuna hili suala nimeliwaza kwa muda mrefu sana. Inakuwaje katika nchi ambayo hata maeneo ya mijini tu kuna changamoto kubwa za maji tunaruhusu ujenzi wa swimming pools?
Najua wengine...
"Jana Samia Suluhu Hassan wakati anazungumza na Rais wa Ghana amesema hali ya kisiasa Tanzania ni shwari, anaiambia dunia hali ya kisiasa Tanzania ni shwari. Nataka kusema kwamba jamii ya...
KUZIMWA kwa intaneti wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kumelisababishia Taifa hasara ya dola za Marekani milioni 238, sawa na takribani Sh. bilioni 560, kwa mujibu wa ripoti mpya ya utawala wa...
Kuongoza mkoa Hasa UKIWA umetoka vyama vya upinzania usipotuliza komwe utapigwa sana za uso mwishowe utadodonkea pia pwaa!
Kwini wa Manyara inawezekana akawa the valueless mkuu wa mikoa katika ya...
TAARIFA KWA UMMA
USHAURI WA HALI YA USALAMA NA USAFIRI KWA RAIA WA TANZANIA WANAOISHI AU KUSAFIRI MASHARIKI YA KΑΤΙ
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inafuatilia kwa karibu hali ya...
Mfanyabiashara Mohammed Dewji, na aliyewahi kuwa Mbunge wa Singida kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanzia 2005 hadi 2015 akizungumza Oktoba 27, 2015 kwenye kipindi cha Mkasi
Mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini Seleman Bungara 'Bwege' ameandika kwenye mitandao ya kijamii na kueleza kuwa masikitiko yake ya kutomuona Zitto Kabwe, Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT-Wazalendo...