Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

GT Ukifuatilia contents za Joseph yona wa Chalinze akiwatuhumu watu mbalimbali bila ushahidi wowote na media zinarusha kama kawaida. Je haya mashambulizi yanayorushwa na hizo media JAB...
1 Reactions
3 Replies
88 Views
Kama kweli tunataka kutokomeza Utekaji na mauaji Kwenye Nchi hii ni vema tukaanika kila kitu bila kufichaficha. Mafwele ametangulizwa mbele lakini kikosi chake kina wakina nani wengine? Je RPC...
20 Reactions
68 Replies
7K Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Jumuiya za Ukanda wa Maziwa Makuu na Nchi...
0 Reactions
5 Replies
355 Views
"Jeshi la Polisi halina mamlaka ya kutoa tafsiri ya kimahakama au kujichukulia hatua zozote bila kupewa maelekezo na mahakama. Wanawake nchi nzima tumejiandaa tunampango wa kusafiri kwenda Musoma...
3 Reactions
4 Replies
187 Views
  • Redirect
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari Tanzania ( Jounalist Accreditation Board) imempa muda wa masaa 24 Mwandishi wa habari Mwandamizi Paschal Mayala kuthibitisha kauli yake aliyoitoa kwenye...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
HABARI PICHA: Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Faustine Mafwele amewataka Polisi Kata kuendeleza ushirikiano...
2 Reactions
Replies
Views
Wakuu, Kitima ametambulisha viongozi wa sasa serikalini pamoja na wastaafu, shangwe la majaliwa sio la nchi hii
5 Reactions
25 Replies
435 Views
Kwa muda mrefu, mwandishi wa Clouds Media, Farhan Kihamu alikuwa amejikita kwenye masuala ya michezo. Sakata la Iran na huko Mashariki ya Kati lilipokuwa linanukia na hatimaye lilipoanza, ghafla...
5 Reactions
2 Replies
181 Views
Dalili kuu ya mtu mwehu au kichaa ni kuwa mwepesi kuamini. Sisi wahubiri wa Injili tunalijua hili. Ukiita wanaotaka kumpa Yesu maisha yao waje mbele Matahira walioko Karibu lazima waje. Kesho...
6 Reactions
33 Replies
705 Views
Huu ndio ushauri wangu kwa Dkt. Nchimbi kama kweli anaguswa na uovu unaoendelea dhidi ya wapinzani. Kwahiyo, kama hawezi au ameshauri na hasikilizwa na bado yuko nao, bora tu akae kimya tujue nae...
3 Reactions
10 Replies
177 Views
Mgogoro wa kijeshi kati ya Iran, Marekani, na Israel wa Machi 1, 2026, na athari zake kiuchumi kwa Tanzania na Afrika. Mapema Jumamosi, Februari 28, 2026, Marekani na Israel zilianzisha shambulio...
0 Reactions
0 Replies
496 Views
Kuna hili suala nimeliwaza kwa muda mrefu sana. Inakuwaje katika nchi ambayo hata maeneo ya mijini tu kuna changamoto kubwa za maji tunaruhusu ujenzi wa swimming pools? Najua wengine...
5 Reactions
65 Replies
3K Views
"Jana Samia Suluhu Hassan wakati anazungumza na Rais wa Ghana amesema hali ya kisiasa Tanzania ni shwari, anaiambia dunia hali ya kisiasa Tanzania ni shwari. Nataka kusema kwamba jamii ya...
2 Reactions
2 Replies
185 Views
Wenye kitambulisho cha NIDA tuna furaha zaidi hivyo basi tukutane kwenye uapisho Uwanja wa Mkapa
2 Reactions
10 Replies
399 Views
KUZIMWA kwa intaneti wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kumelisababishia Taifa hasara ya dola za Marekani milioni 238, sawa na takribani Sh. bilioni 560, kwa mujibu wa ripoti mpya ya utawala wa...
1 Reactions
1 Replies
89 Views
Kuongoza mkoa Hasa UKIWA umetoka vyama vya upinzania usipotuliza komwe utapigwa sana za uso mwishowe utadodonkea pia pwaa! Kwini wa Manyara inawezekana akawa the valueless mkuu wa mikoa katika ya...
0 Reactions
1 Replies
159 Views
  • Redirect
TAARIFA KWA UMMA USHAURI WA HALI YA USALAMA NA USAFIRI KWA RAIA WA TANZANIA WANAOISHI AU KUSAFIRI MASHARIKI YA KΑΤΙ Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inafuatilia kwa karibu hali ya...
0 Reactions
Replies
Views
Mfanyabiashara Mohammed Dewji, na aliyewahi kuwa Mbunge wa Singida kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanzia 2005 hadi 2015 akizungumza Oktoba 27, 2015 kwenye kipindi cha Mkasi
0 Reactions
0 Replies
78 Views
Mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini Seleman Bungara 'Bwege' ameandika kwenye mitandao ya kijamii na kueleza kuwa masikitiko yake ya kutomuona Zitto Kabwe, Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT-Wazalendo...
27 Reactions
21 Replies
589 Views
VIONGOZI WA NCHI ZA EAC KUKUTANA KATIKA MKUTANO WA 25 WA KAWAIDA WA WAKUU WA NCHI, ARUSHA
1 Reactions
15 Replies
213 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…