Tunakwenda wapi? Huko mbele Watanzania wataweza kulipa hili deni.
Leo hii deni la taifa limefikia tril 114 .
Hizo pesa zinazokopwa zinafanya miradi gani?
Hatuoni miradi yoyote mikubww ya...
Huyu jamaa mnaemsifia nyuma yake yupo mzee wa pwani anasukuma kete zake taratibu baada ya kuona namba moja kachafuka.
Mzee anataka kuendelea kua relevant kwenye siasa zetu ndo anasukuma kete...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa Hakika Hiki chama Hakina watu, hakina wafuasi , hakina Wa Kukiunga Mkono wala kukipenda . Ni chama ambacho kimekatalika Mioyoni Mwa Watanzania na watu wote wenye...
Huyu aliahidiwa atarithishwa kiti ili kulinda uovu wa october lakini sasahivi Yezebeli ameona ampe ahadi hiyo makamu wake endapo atafanikiwa kuteka hisia za watu.
Watanzania msikubali kuchezewa...
Sijui Mwalimu Nyerere alikuwa akilenga nini hadi kufikia hatua ya kuruhusu watu kutoka Zanzibar kuwa na nafasi ya kuongoza Tanganyika, wakati Wabara hawana nafasi hiyo ya kuongoza Zanzibar. Hali...
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.
Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.
Kama kweli unawapigania Watanzania...
Jana niliandika kuhusu changamoto ya taa za kuongozea magari na watembea kwa miguu zilizopo eneo la Chuo Kikuu cha Kikatoliki Mbeya (Catholic University of Mbeya - CUoM), ambazo zilikuwa hazifanyi...
Dkt. Ayub Rioba Chacha amesema hayo wakati akizungumza kwenye kipindi cha One on One cha Wasafi Media kilichorushwa leo Julai 28, 2026.
Uchaguzi huu ulioisha, niliwaambia naomba nyimbo kama...
Aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa TBC, Ayob Rioba akizungumza katika mahojiano yaliyorushwa na A &S podcast amesema Na TBC ilikuwa victims kwa sababu ndio iliyokuwa inatangaza matokeo na taarifa...
CCM ni chama imara na siku zote huwa kinapima viongozi kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya kesho, sio kwa ajili ya kelele za leo.
Kila mkutano wa Halmashauri kuu unapokaribia huwa kuna sauti nyingi...
Nina shaka na maono ya viongozi wa sasa kuhusiana na dhima ya ujenzi mkubwa wa Miundombinu nchini kama kwamba inarudisha kwenye zama za Utumwa na kutawaliwa.
Nakumbuka maono (Vision) ya rais...
CHADEMA imetangaza kusitisha uvumilivu dhidi ya kile ilichodai ni matumizi ya vyombo vya dola kugeuza shughuli za kisiasa kuwa makosa ya jinai na ugaidi. Chama hicho kimesema kitachukua hatua za...
Hajaisha mpaka iishe.
Nimepata very classified information kuwa pamoja na Mafwele kutenda makosa makubwa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu( Crime against humanity), alijua kabisa ipo siku atawindwa...
Kipindi nagawa vipeperushi vya amani kwenye mitaa mbalimbali ya mji wa Iringa, jeshi la polisi mkoani humo limeanza kunibugudhi kisa ujumbe uliopo ndani ya vipeperushi.
Ujumbe huo ni mfupi tu...
Kwa hili niwape kongole wazee wa geti jeusi wale wazee wa kitengo, huo ushauri mlioupa imekaa vizuri sana, maana Dunia haituelewi hadi muda huu, hata wafanyabiashara wa sekta ya utalii hawaelewi...
Watu wa X, Chadema na watanzania wengine wanamlaumu sana Thobias Mwesiga Kwa matendo yake ya kihalifu. Hii ndo biography ya Thobias Mwesiga.
Huyu bwana alizaliwa katika kitongoji Cha Nyarubanja...
Aisee hawa watu wapo mbele sana kwa intelejensia ya uhakika.
Hawanaga kuficha ficha wala uchawa wao ni straight.
====
Ufuatiliaji wa JamiiCheck:
Video inapotosha uhalisia kwani imetumiwa...