Wito wa amani, usalama na maendeleo kama ilivyosadifu kaulimbiu ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR), ulitawala kwenye hotuba za viongozi ikiwemo...
Kwa wazoefu wa maeneo ya sirari kwenye mpaka wa Kenya na Tanzania, ni kichekesho cha hali ya juu kuuziwa propaganda eti Mwanajeshi wa Marekani amekamatwa akivuka mpaka rasmi wa Tanzania na Kenya...
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Njombe kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Sigrada Mligo, ametoa wito kwa taasisi zote za Serikali na umma mkoani Njombe kushirikiana naye ili kuharakisha...
Godbless Lema ameonya kuwa “endapo vitendo vya upumbavu havitazuiwa, nchi inaweza kuingia katika mgogoro mkubwa wa uhasama wa kidini.”
Kwa mujibu wa Lema, haiwezekani kuficha uovu kwa kujificha...
1. Vurumai zile zimeonyesha udhaifu mkubwa, hasa namna vyombo vyetu vinavyokabiliana na maswala ya kiusalama. Imagine kulikuwa na taarifa mapema kuwa kutakuwa na maandamano nchi nzima, lakini...
Serikali na vibaraka wao wote baada ya maandamano wakati wa uchaguzi wamekuja kulaumu wananchi ndio waliochomo moto sheli, biashara za baadhi ya wasanii pamoja na magari ya watu mbalimbali.
Swali...
Kesi inayowakabili watuhumiwa 11 kati ya 172 wanaodaiwa kuhusika na matukio ya uhalifu yaliyotokea baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imeahirishwa hadi Novemba 26 mwaka huu baada ya upande...
Huko Tunduma kuna miili zaidi ya mia 3 ililundikwa kwenye godown tarehe 30 October na baadaye kwenda kuzikwa kwenye makaburi ya halaiki.
Waliotumiwa kusaidia kuzika nao waliuwawa kabla ya...
Kupinga maandamano katika mazingira tuliyopo ni kupinga mabadiliko ya kweli, haki na maendeleo ya taifa.
Huwezi kuuwa maelfu ya watu na kuiba kura na kujifanya rais alafu ukatuwa na nia njema na...
Upo msemo usemao kuwa VITA HAINA MACHO! Usemi huu unatokana na ukweli kwamba risasi zikishapigwa hazibagui nani anahatia na nani hana hatia. Machafuko yakisha fika hatua hii sirahisi tena...
Iko hivi, wakati maandamano yanapamba moto kwenye miji mbalimbali hapa Tanzania kama Mwanza, Dar, Mara, Mbeya na Arusha, inadaiwa Rais Samia aliitisha kikao cha dharura cha baraza la usalama la...
Jeshi la polisi Mkoa wa Geita limewaonya maafisa usafirishaji (Boda boda) likiwataka kuacha kufanya vitu kwa mkumbo kwa kuwa kufanya jambo Kwa mkumbo kunanaweza kusababisha madhara kama...
Baba Askofu Bethania Simon Mpembwa, Kiongozi wa Kanisa la Neema ya Kitume, Mbezi Luis Mkoani Dar Es Salaam amesema ni faraja kuona dhamira ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuendelea kulileta...
GT
Mfikishieni salamu bibi ya kizimkazi leo ni siku ya 14 kati ya zile mia alizosema aha aha a nachoka mimi mtoto wa mzee mwandambo, dalili zinaonyesha serikali iko paused na hawajui waanze na gia...
Mhariri wa The Chanzo Khalifa Said anasema kilichotokea Oktoba 29, 2025 ni “natural outcome” ya juhudi za wanaoshikilia madaraka kuminya kila nafasi ya wananchi kushiriki kwenye uendeshwaji wa...
Katibu wa Kamati Maalum vya NEC Zanzibar , Idara ya Itikadi ,Uenezi na Mafunzo, Khamisi Mbeto Khamis ,ameeleza hayo katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Visiwani humu
Mbeto alisema matatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.