CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
TAARIFA KWA UMMA –UCHAGUZI MKUU WA MAREKANI
· Pongezi kwa Rais Mteule
· Ni ushindi wetu IDU
Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA MWENYEKITI WA BODI YA TANAPA JENERALI GEORGE WAITARA NA MKUU WA JKT BRIGEDIA JENERALI MICHAEL ISAMUHYO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe...
Nimesikia juu ya tuhuma za Mbowe dhidi ya wabunge wa ccm kuhusishwa na rushwa.
Binafsi nachelea kuamini kwa sababu nina imani kubwa na serikali hii dhidi ya mapambano ya rushwa...
Lakini...
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikia kukusanya shilingi trilioni 1.15 kwa mwezi Oktoba ikiwa ni kukamilisha malengo waliyojiwekea katika ukusanyaji wa mapato.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi...
TRA Yakusanya Shilingi Trilioni 1.15 Mwezi Oktoba
Na Ally Daud-MAELEZO.
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikia kukusanya shilingi trilioni 1.15 kwa mwezi Oktoba ikiwa ni kukamilisha...
Huwezi Kukwepa Umuhimu wa hii Lugha ni Mkubwa hasa kwa Taifa Omba Omba kama Tanzania Rais ajifunze tuu hii Lugha Ni bora angeandika Kiswahili tuu Hizi ni tweet zake mbili alizotweet bila mafanikio.
Siku ya Kesho itakuwa siku ya historia, kesho ndo siku ambayo wabunge wa CCM wataiuza nchi, kesho wabunge wa CCM wataiingiza nchi kihalali kabisaaa kwenye mfumo wa udiktekta...... .
.
Kwa kiasi...
Kuna ule msemo maarufu siku hizi, ‘Usiempenda kaja’ ndiyo tunaweza kusema sasa unatumika kwa watu waliompinga Trump na huku akiwa ameshinda kiti cha Urais Marekani.
Waliotamka maneno hayo...
Ningependa wa kuu wa mikoa wakisaidiana na RAS, DC, DED na Watu wa mipango miji kuwa na mipango endelevu ya kupanga miji, kusimamia public places Kama open spaces, sehemu za wapita kwa miguu na...
Katika harakati zangu za kusoma vitabu, mwaka 2012 nilikutana na kitabu NEVER GIVE UP, ambacho kimeandikwa na Donald Trump.
Katika kitabu kile, alieleza jinsi alivyofilisika na kibiashara na...
Umofia kwenu Great Thinkers,
Trump alipata kusema akishinda kiti cha urais
Waislam watapigwa BAN
Latinos ni rapist
Africa itawaliwe tena
Atajenga ukuta kuzuia Mexicans
Kama kiongozi huyu...
Kwa ufupi
Utafiti kuhusu utendaji wa Rais Magufuli katika kipindi cha mwaka mmoja wa kuwapo madarakani unaonyesha kuwa ameshughulikia suala la gharama za maisha kwa asilimia 5.2.
By Peter Elias...
Wasalaam wana bodi, kama mjuavyo siku ya jana pale bungeni mbunge wa nzega mjini kwa mara nyingine alionesha chuki yake ya wazi wazi kwa Rais Mheshimiwa Dr. John Magufulina serikali yake kwa...
Kwa kweli tunahitaji mjadala wa Kitaifa wa kisheria kuhusu maana halisi ya 'Uchochezi'.
Kwa nini limekuwa prominent namna hii in recent times? Seriously we need to know what is going on
Mbunge wa Nzega Hussein Bashe amedai hatuwezi kuwaamini wakenya na kuingia nao kwenye mkataba wa EPA, hii ni kwa sababu wakenya walishatugeuka mara nyingi
Ametolea mfano kuna kuweka kodi kwenye...
Bunge la Tanzania limeridhia msimamo wa Serikali ya Tanzania wa kutokusaini mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi (EPA) baina ya nchi za jumuia ya Afrika Mashariki (EAC) na umoja wa ulaya(EU).
My...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.