Ukisikiliza maelezo ya Lusinde kati ya 2:15 na 2:50 (video ya kwanza); na swali la Ester kati ya 3:28 na 5:41; na Silinde kati ya 10:02 na 11:23 wakati wa uchaguzi wa naibu spika (video ya pili)...
Sasa kila mmoja anaweza amini kwamba huu unafiki wa waandishi ndio unaolilidimiza taifa,hivi kweli maswali yaliyoulizwa na wandishi wa habari ndio yanayotugusa wananchi wa chini?mana imesekana...
Nasema hivi kwa sababu:-
Kila kikifika kipindi cha bunge kuanza vikao vya kupitisha sheria au jambo lenye kuwaumiza wengi na kuwafurahisha wachache vyombo vileeeee huibuka na kamatakamata ya...
Nimeona wanaCCM wengi wakiwa wameghafilishwa na kauli za Bashe bungeni, wengi wamechukia maana Bashe aliutumia uhuru wake ipasavyo ktk kuikosoa serikali, kuidhihaki na hata kuidhalilisha...
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kasema Mkoa wa DAR ES SALAAM utagharimia masomo ya wanafunzi wa mkoa wa dar es salaam watakaofaulu form four na kuchaguliwa kusoma masomo ya sayansi...
Leo muheshimiwa rais ana mkutano na waandishi wa habari juu ya mwaka mmoja wa uongozi wake ambapo wahariri na viongozi mbali mbali wa vyombo vya habari walipata fursa ya kuuliza maswali
Lakini...
Serikali imetoa kauli juu ya ziara ya Mfalme wa Morocco, inayoonyesha kwamba leo hii, ingekuwa kwamba huko Afrika Kusini bado Serikali ya kibaguzi ya Makaburu inatawala kimabavu na kunyanyasa watu...
Kwenye mkutano wa rais na waandishi wa Habari namuona Makonda ametulia pale mbele. Najiuliza tu kama naye ni Mwandishi wa Habari na kama jibu ni hapana tujuzane anafanya nn.
Shida haona ngoja ngoja.....ooohhh shida....unalia hauna pesa ....ohhh shida.
nadhani wimbo huu ulipigwa na mbaraka mwishehe.
Kuna ujumbe wa kisiasa ndani ya huo wimbo?
Tunajua watanzania wengi...
Leo mkuu wa nchi anazungumza, ungependa kusikia anazungumzia mambo yapi.
1. Elimu, mikopo ya elimu ya juu.
2.Je, Atazungumza kuhusu Ajira mpya.
3.Atazungumza kupandisha watumishi madaraja...
Huku sisi bado tunalala nje, Kule wanahongana M10!?
Ufafanuzi Ni muhimu, vinginevyo tutaendelea kuamini fikra zetu kuwa Rais ameamua kutubagua waziwazi na kwamba pesa walizoongana CCM zimemegwa...
Namna Mwananchi walivyoripoti habari ya wabunge wa CCM kutuhumiwa kuhongwa imeniacha na maswali ila the Citizen ndio kabisa habari hii wala hawajaiandika.
Mwananchi heading inasomeka:
"Mbowe...
Kama bunge tumenyimwa kuliangalia live je, hutuba ya Mh Raisi tuta onyeshwa live? Nakama itakua live serikali yngu inaogopa garama hii garama italipwa na nanani? Napenda sana serikali yngu kwa...
Tuache kujadili watu tuijadili hii Hoja, Je ni kweli swali la mbowe kuhusu Rushwa kwa viongozi wa Umma kupewa Zawadi sio Sera ya Bunge wala Serikali hii awamu ya Tano??
Kwa mjibu wa naibu spika...
Leo kutakua na TV show mida ya saa nne asubuhi
Panya wakimsemesha huyu Paka mkali asiyejaribiwa ambaye kamtafuna mwenzao tena mbele yao.
Cast
----------------------
Prezidendi
Journalists
Ilikuwa ni kawaida kwa magazeti ya CHADEMA na wanasiasa wa CHADEMA kutaja jina la Rostam Aziz kulihusisha na ufisadi wa kutisha wa nchi hii.
Kinachotia shaka tangia kipindi cha uchaguzi uliopita...
Nawaomba wale waandishi wa habari wote watakaopata nafasi ya kuuliza maswali kwa raisi Magufuli waulize kuhusu umiliki wa kisiwa cha fungi Mbaraka #Lutham island. na je raisi Magufuli anamini vipi...
Nafuatilia maoni ya wabunge na mjadala wa leo asubuhi kupitia star tv ambapo wengi wanasema mzunguko wa fedha umedorora kutokana na serikali kuondoa pesa zake kutoka mabenki na kuziweka benki kuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.