Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mijadala imekuwa mingi juu ya unabii ndani ya biblia uliotolewa na nabii Yeremia, Yeremia 49 kuhusu nchi ya Elamu, ambayo ni Iran ya leo. Nabii Katika kufafanua zaidi juu ya unabii huo, Pirooz...
3 Reactions
5 Replies
228 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais Samia kajitoa na kujitolea Maisha yake kama Zawadi kwa watanzania. Rais Samia anafanya Kazi usiku na mchana Mpaka Huruma Zinanishika Mimi. Muda na wakati wote unaona...
3 Reactions
33 Replies
452 Views
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba ameyasema hayo leo wakati akiongea na wananchi wa Karatu.
0 Reactions
4 Replies
98 Views
Waziri Mkuu Mwigulu ameyasema hayo leo Wilaya ya Karatu wakati wa ziara ya kikazi, akiwa anamzungumzia mkandarasi wa kigeni aliyepewa kujenga mradi wa umwagilia na kushindwa kuutekeleza, na...
1 Reactions
9 Replies
160 Views
  • Redirect
Mmoja wa watuhumiwa wa utekaji huko nchini Kenya ana asili kama Mzanzibari au Mwaraba kama sio Msomali kulingana na picha zao na sio mtanganyika kwa asili Je, wenzangu mnahisi huyo mtu asili...
1 Reactions
Replies
Views
Siyo siri, serikali ya Awamu ya 6 ina matatizo ya kukubalika na jamii. Sitaingia katika sababu za kufikia hapo. Lakini wakati wa msiba wa baba Yetu Cardinali Pengo, imejidhihirisha wazi kuwa watu...
5 Reactions
16 Replies
306 Views
Waziri Mkuu ametoa wito kwa watendaji kuwajibika kuhakikisha wanatatua kero za watu kwa wakati. Ametoa wito huo akiwa katika ziara ya kikazi wilaya ya Karatu
0 Reactions
0 Replies
64 Views
  • Redirect
Inasemekana walienda Kenya kuteka mwanaharakati. Leo wamepandishwa mahakamani.
0 Reactions
Replies
Views
Ukitaka kuona ni jinsi gani watu wanatoa comments za kumbeza raisi Samia na hata kumtukana yeye na mtoto wake Abdul, basi wewe nenda kwenye post za Mwashambwa. Sasa ushauri wangu kwa Mwashambwa...
9 Reactions
27 Replies
403 Views
uchumi na biashara duniani kufikia Machi 2026. 1. Migogoro ya Mashariki ya Kati na Athari zake Ugomvi unaoendelea Mashariki ya Kati umeanza kupiga mifuko ya walaji duniani kote. Mashambulizi ya...
0 Reactions
0 Replies
68 Views
๐—ž๐—ข๐——๐—œ ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—œ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—ง๐—”๐—ก๐—ญ๐—”๐—ก๐—œ๐—” Matatizo muhimu ya ๐—บ๐˜‡๐—ถ๐—ด๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ผ๐—ฑ๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐˜†๐—ฎ ๐—ป๐—ฐ๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ yanatokana na ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฒ๐—ด๐—ฒ๐—บ๐—ฒ๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐—ผ๐—ฑ๐—ถ ๐˜‡๐—ถ๐˜€๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐—ท๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐—ท๐—ฎ, ambazo zinachangia takribani ๐Ÿฑ๐Ÿฑ.๐Ÿต% ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ผ ๐˜†๐—ผ๐˜๐—ฒ...
0 Reactions
0 Replies
68 Views
Hii ni kwa sababu Iran haiungwi mkono na hata Nchi za kiarabu Russia hana uwezo tena wa kusaidia Iran kutokana n.a. vita yake n.a. Ukraine, kishakwisha hana msaada wowote Kitendo cha Iran...
12 Reactions
37 Replies
843 Views
Wakuu, JAB mnaingia mpaka chumbani kwa watu mnataka nini? Hamuoni aibu kwa haya mnayofanya? Afadhali kuna mwandishi yuko na ujasiri wa kuongea! Ni zaidi ya fezea kwa waandishi kukaa kimya kuwa...
4 Reactions
10 Replies
339 Views
https://m.youtube.com/watch?v=icD2ie-ywzs Wakili Peter Madeleka anaongea na waandishi kuhusu mgogoro wa mirathi unaohusu mali ya aliyekuwa Mkemia Mkuu wa Serikali, marehemu Ernest Ndati Marasa...
2 Reactions
7 Replies
479 Views
Akiongea katika kipindi cha Jambo Asubuhi, Mwandishi Pascal Mayalla amesema Tanzania kuna tatizo kubwa la tafsiri ya sheria, hata kwenye Mihimili mitatu ya dola.
14 Reactions
28 Replies
948 Views
Tanzania inaandika historia mpya ya usalama wa nishati. Chini ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Uchukuzi inatekeleza mradi...
3 Reactions
7 Replies
195 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amefikishwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masijala Ndogo ya Dar es salaam kwa ajili ya kusikilizwa kwa hoja za maombi yake...
0 Reactions
0 Replies
174 Views
Mwigulu Madelu Lameck Nchemba kama waziri mkuu ingawa hawakushinda ubunge wala urais, anatakiwa awe makini na anachosema vinginevyo haya mambo yatamharibia na siku moja atajikuta katika hatari...
4 Reactions
2 Replies
148 Views
Wanajamvi na watanzania kwa ujumla salaam nyingi kwenu. Naomba nianze kwa kutumie fursa hii kumpa pole Rais wetu JK kutokana na kufanyiwa matibabu ya tezi dume (prostate) kwa njia ya operesheni...
20 Reactions
126 Replies
15K Views
Hakuna economic measures ambazo zinawekwa kumsaida mtanzania kupata kipato kibachoweza kumsaidia kupata mlo kamili. Mikakati iliyopo ni kusaidia vijana watengeneza maudhui mitandaoni kuwa ndio...
1 Reactions
8 Replies
170 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ