Nimekuwa nikifuatilia mijadala inayomhusu Wakili Msomi mwenzangu Tundu A. M. Lissu hasa anapotoa matamko au kauli zihusuzo Tanganyika Law Society (TLS). Iko wazi kuwa Lissu ni Rais na mwanachama...
JESHI la Polisi mkoani Dodoma limepiga marufuku na kuwataka wananchi wasishiriki katika maandamano ya Septemba mosi mwaka huu.
Limesema maandamano hayo ya Ukuta, yanayoandaliwa na Chama cha...
Jeshi la Polisi limeongeza askari na vifaa vyake Mkoani Dodoma ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano Mkuu wa CCM ambao unatarajiwa kumchagua Rais Magufuli kama Mwenyekiti wa CCM Taifa.
Awali...
Ruttashobolwa said
Moja ya tarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii jioni ya leo February 7 2017 ni kuhusu Polisi Dodoma kumtafuta kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo ambaye pia ni Mbunge wa...
Awamu ya tano Sheria sio kipaumbele, wanajenga Nchi kwa akili zao kichwani,
Kesi zako mahakamani, huku Serikali wanafanya yao wayatakayo, Mwanasheria akitetea anaepingana au kutuhumiwa na...
Hakika Rais MAGUFULI hatimae kaiona UVCCM ya SHAKA na JOKETI.Nilikuwa nashindwa kuamini kuwa kweli hii UVCCM italeta mabadiliko kweli?Na kweli kama inaweza kuongozwa na kina JOKETI ambao kila...
Mbunge wa Tunduma(CHADEMA), Frank Mwakajoka akamatwa na Polisi kwa amri ya Mkuu wa Wilaya
Hapo awali ilidaiwa kuwa mbunge huyo alisikika kutoa kauli za kuwadhihaki viongozi wa serikali...
Habari wakuu wa jamiiforums,napenda kuchukua nafasi hii kuliomba jeshi la polisi kumuhuji lissu kama mtuhumiwa namba moja kwenye kesi ya mlipuko wa kampuni ya mawakili ya IMMA advocate.Lissu...
Jerry Muro asiye na fadhila
Na Saed Kubenea
NIMESOMA kilichoitwa na Jerro Muro, "ushauri kwa wanasheria nchini " juu ya msimamo wao wa kutohudhuria mahakamani leo (Jumanne) na kesho.
Hatua...
Kwa ninavyojua,hali ya uchumi ya Cuba ni ya kuchechemea,ni nchi ambayo bado ina sera za kijamaa,ambapo serikali inamiliki njia kuu za uzalishaji
Kimsingi,Cuba ni nchi masikini isiyo na mtaji wala...
Mimi sijasomea sheria lakini naongea nilichokiona kwa kesi zangu na kesi zingine.
Unapofungua kesi maana yake lazima uhakikishe unayemshitaki apate taarifa. Kitendo cha kumpatia taarifa kinaitwa...
Nimesikiliza clip ya wanasheria wakiwa na watu wa Haki za binadamu, wanadai wako katika mgomo wa siku mbili ulio tokana na tukio la kuvamiwa kwa ofisi za IMMMA avocates.
Nionavyo mimi mgomo huu...
Mtu kulaumu jeshi la Polisi ati kwa kuonekana wahalifu wamevaa sare za jeshi hili ni upungufu wa utaalamu wa uhalifu na intelijensia. Polisi wangehusika na tukio wasingevaa sare zao.
Lakini upo...
Nisaidie kujua haya:
Mara baada ya kukamatwa walipuaji hawa nini itakuwa msimamo wa chama hiki ktk kuwatetea wahalifu iwapo firm yoyote itaombwa na mteja wakawatetee?
Nini itakuwa msimamo wa TLS...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
28/08/2017
TUKIO LA MLIPUKO KWENYE OFISI ZA MAWAKILI WA IMMA
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dsm mnamo tarehe 26/8/2017 lilitoa taarifa ya awali ya...
Nimesikiliza clip ya wanasheria wakiwa na watu wa Haki za binadamu, wanadai wako katika mgomo wa siku mbili ulio tokana na tukio la kuvamiwa kwa ofisi za IMMMA avocates.
Nionavyo mimi mgomo huu...
Mbowe yupo kimya sana hasa kwenye kukemea yanayoendela nchini.tulitegemea mbowe kipind hiki awe strong sana..yeye ndo awe dira na muongozo kwa wote wasiokubaliana na Magufuli. But mzee mbowe...
Najiuliza sipati jibu kwanini rais aliamuru bilioni 500 za mzunguko ziondolewe na B.O.T?
Zile pesa zilisaidia mzunguko wa pesa kuwa mzuri leo pesa hatuioni mtaani
Kwanini achukue fedha za mzunguko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.