Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Redirect
https://www.indexoncensorship.org/2026/01/tanzanias-samia-suluhu-hassan-named-tyrant-of-the-year/
1 Reactions
Replies
Views
  • Closed
Taarifa za Hivi Punde, leo Januari 10, 2026 Clemence Mwandambo mkazi wa Mbeya aliyekamatwa tarehe 29.12.2025 amefikishwa Mahakama ya Wilaya ya Temeke Jana tarehe 9 Januari 2026 na Jeshi la Polisi...
2 Reactions
13 Replies
496 Views
Polisi kushikiria mwandambo bila kumpeleka mahakamani wala kumpa dhamana wala kujilikana alipo ni utekaji wa raia wa wazi na hauvumiliki. Inakuwaje mtu anatekwa kituo cha polisi ? Kuna vitendo...
5 Reactions
7 Replies
241 Views
Hongera Mh waziri Mpya wa mambo ya ndani . Ila kuhusu ajira za Police ,boresheni msichukue watu ambao wana ufaulu hafifu. Hii inashusha heshima ya jeshi na kuonekana ni kimbilio la waliofeli...
2 Reactions
17 Replies
343 Views
Wanabodi Mimi ni mwalimu wa somo linaloitwa karma humu jukwaani. Karma ni kuhukumiwa kwa mawazo yako, maneno yako na matendo yako, wazungu wanasema, what goes around, comes around. Nashauri...
27 Reactions
72 Replies
5K Views
Viongozi wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Josephat Isango- Mwenyekiti wa baraza la Vijana wa CHADEMA, Mkoa wa Singida, na Patrobas Paskali Katambi Mwenyekiti wa Chama wa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Baada ya chama imara kusisia uchaguzi basi kina Thobias Mwesigwa waridhani wanaweza wanunua viongozi wa Chadema na wakapata nguvu ya umma. Wakawekeza fedha CHAUMMA na kuwanunua kina Yerrico...
18 Reactions
48 Replies
2K Views
Ni mchapakazi. Mambo yake yako Wazi. VIDEO Kwako samuya..
0 Reactions
9 Replies
298 Views
MBEYA, TANZANIA – Mawakili wa Mahakama Kuu, Hekima Mwasipu na Philip Mwakilima, wamewasilisha maombi ya dharura ya kisheria ya aina ya Habeas Corpus katika Masjala Ndogo ya Mbeya, wakitaka...
2 Reactions
3 Replies
441 Views
Mwenyekiti wa Wamachinga Mkoa wa Arusha, Amina Njoka, amesema kuwa hawakuhusika na maandamano yaliyofanyika Oktoba 29, akieleza kuwa kundi hilo linaiheshimu Serikali. “Mheshimiwa Waziri, sisi...
0 Reactions
7 Replies
257 Views
Ndugu zangu Watanzania kwanza nianze Kwa masikitiko makubwa Kwa Taifa kufika hapa lilipo fika. Hivi kama ni kweli Yale maoni ya G. Simbachawene ndio yamesababishwa atolewa nyadhifa yake , je! Ni...
2 Reactions
3 Replies
236 Views
Hata kama atakaa kwa muda mrefu ataondoka tu kirahisi kama walivyondoka akina Mobutu , Bokasa na wengineo. Hata vijana ambao huwa nakutana nao mara kwa mara huwa nawaeleza hili kuwa kila jambo...
8 Reactions
7 Replies
263 Views
Dunia inaenda kasi sana na dunia inahitaji wasomi wa hali ya juu katika kuchakata taarifa za kiintelijensia na kufanya maamuzi ya haraka na sahihi. Diplomasia ya uchumi inabidi ieandane na...
0 Reactions
7 Replies
215 Views
Ni kama kuna safisha safisha huko serikalini. Nineambiwa baada ya mapete sasa ni zamu ya Korogwe. Tega sikio…
8 Reactions
40 Replies
2K Views
Conspiracy or Controversy?? Mwezi Novemba mwaka 2024 ilitaarifiwa kuwa Rais Samia angefika Havana cuba kwa ajili ya kongamano la kimataifa kuhusu lugha ya Kiswahili. Siku chache sana kabla ya...
2 Reactions
10 Replies
815 Views
Wanabodi, Ukiisikia simulizi za historia ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, tangu kuzaliwa, alipotoka, mapito aliyopitia na hadi sasa alipo, na kuifikiria picha ya anapokwenda...
23 Reactions
322 Replies
48K Views
Tume ya uchaguzi wa Tanzania iwe na viongozi wote toka Marekani na Ulaya tu. Wasimamizi wa uchaguzi Kuanzia ngazi ya madiwani, wabunge, kura za Urais viongozi wa kuhesabu kura na kutangaza matokeo...
3 Reactions
24 Replies
444 Views
Kama utaki utajiju
2 Reactions
2 Replies
176 Views
Wakili Mwabukusi amesema serikali ya Tanzania haina dini lakini raia wake wana dini, akisisitiza dini ndiyo siagi ya siasa na huwezi kutenganisha siasa na dini kwani dini ndiyo hutoa maadili. Pia...
0 Reactions
1 Replies
173 Views
Back
Top Bottom